Habari JF,
Unajua uongozi ni mgumu sana sababu kubwa ni kwamba unaongoza mamilioni ya watu wenye akili na mitizamo Tofauti.
Kupitia mazingira hayo ndio tunaona viongozi wanaenda mbali na kufanya maamuzi magumu ambayo yanampa taswira mbaya.
Hivi mfano ukiwa Rais wa Tanzania mtu kama huyu utamfanyaje?
1. Umeingia tu madaraka una miezi 3 kiongozi wa Chama Chama Upinzani ana hamashisha watu waingie mitaani wadai katiba mpya
2. Umeongeza mishahara kwa watumishi kulingana na hali ya Uchumi wa nchi, mtu anaandaa watu wawe na Mgomo baridi makazini
3. Unatengeneza mazingira mazingira mazuri ya kupata pesa kutoka nje, Mtu anapiga propaganda huko nje kwamba wale watu sio wa kuwapa pesa
4. Unahamasisha watu walipe kodi na Tozo kwa ajiri ya maendeleo mtu yuko bize mitaani na mitandaoni kupinga zoezi hilo lisifanikiwe
5. Uko bize unapambana na Changamoto za uongozi Mtu yuko bize mitandaoni ana andika mambo machafu na kukutukana mitandaoni mbele ya watu unao waongoza
6. Unapambana na changamoto za Uongozi mtu yuko bize kwenye Chama kumobilize wanachama wakutoe madarakani
7. Unajitahidi kuongoza Nchi pamoja na changamoto zake Mtu yuko bize kupiga propaganda Chafu uonekane hufanyi kitu.
8.Kiongozi uko bize unaandaa zoezi la Sensa Taifa 2022 mtu yuko bize anahamasisha watu wasusie sensa ili zoezi likwame .
Wana JF mtu huyu utamfanyaje? Maana hiki ndio chanzo kikubwa cha viongozi wengi kuonekana wabaya Duniani.
Binafsi mtu wa namna hii siwezi mvumilia hata kidogo na ntapoteza watu wachache kwa ajili ya maendeleo ya watu wangu.
Unajua uongozi ni mgumu sana sababu kubwa ni kwamba unaongoza mamilioni ya watu wenye akili na mitizamo Tofauti.
Kupitia mazingira hayo ndio tunaona viongozi wanaenda mbali na kufanya maamuzi magumu ambayo yanampa taswira mbaya.
Hivi mfano ukiwa Rais wa Tanzania mtu kama huyu utamfanyaje?
1. Umeingia tu madaraka una miezi 3 kiongozi wa Chama Chama Upinzani ana hamashisha watu waingie mitaani wadai katiba mpya
2. Umeongeza mishahara kwa watumishi kulingana na hali ya Uchumi wa nchi, mtu anaandaa watu wawe na Mgomo baridi makazini
3. Unatengeneza mazingira mazingira mazuri ya kupata pesa kutoka nje, Mtu anapiga propaganda huko nje kwamba wale watu sio wa kuwapa pesa
4. Unahamasisha watu walipe kodi na Tozo kwa ajiri ya maendeleo mtu yuko bize mitaani na mitandaoni kupinga zoezi hilo lisifanikiwe
5. Uko bize unapambana na Changamoto za uongozi Mtu yuko bize mitandaoni ana andika mambo machafu na kukutukana mitandaoni mbele ya watu unao waongoza
6. Unapambana na changamoto za Uongozi mtu yuko bize kwenye Chama kumobilize wanachama wakutoe madarakani
7. Unajitahidi kuongoza Nchi pamoja na changamoto zake Mtu yuko bize kupiga propaganda Chafu uonekane hufanyi kitu.
8.Kiongozi uko bize unaandaa zoezi la Sensa Taifa 2022 mtu yuko bize anahamasisha watu wasusie sensa ili zoezi likwame .
Wana JF mtu huyu utamfanyaje? Maana hiki ndio chanzo kikubwa cha viongozi wengi kuonekana wabaya Duniani.
Binafsi mtu wa namna hii siwezi mvumilia hata kidogo na ntapoteza watu wachache kwa ajili ya maendeleo ya watu wangu.

