Siku nne tu!

Ulisema unadaiwa elfu 50 na nikakwambia tuma hizo reference hapa tukusaidia ukaingia mitini we mtt ukoje au sio mwaminifu kweli?

haukurudi tena. Na wala haukuangalia kile nilichokiandika. Nilitoa maelekezo ya jinsi ya kulipia kama nilivyoandika hapo juu. Wala haukfanya au kunijuza kama ulivyosema.
 
Ulipaswa umkumbushe. Wewe mhitaji ndio mwenye jukumu la kukumbuka. Ni process ya kimaisha utakutana nayo hata baada ya shule, na kuomba kazi nk. Jifunze kutokulaumu
haukurudi tena. Na wala haukuangalia kile nilichokiandika. Nilitoa maelekezo ya jinsi ya kulipia kama nilivyoandika hapo juu. Wala haukfanya au kunijuza kama ulivyosema.
 
Pamoja sana swahiba
.....dahh, pole sana dogo.
Shida hazina adabu, usojiumize sana kichwa na maelezo marefu.

Elfu 57/= yaonekana kidogo kwa aliyenayo, ila ni pesa ndefu kwa asiyejua pa kuipata.
King'asti, umeandika kwa busara,
Will be back.


#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Unadaiwa bei gani mbona huweki wazi pia what happened mpaka ukashimdwa kuilipa??
 
King'ast Mungu akubariki sana, umenigusa kwa mtima wangu
 
Last edited by a moderator:
Daah! ushauri ndg yang, onana na matron au patron, waeleze tatizo lako, nadhan watakusaidia
 
Daah! ushauri tu ndg yang, onana na matron au patron, waeleze tatizo lako, nadhan watakusaidia
 
Kwanza nakudai konyagi ndogo 4. Acha utapeli, wachaga ni wezi ila hawatapeli. Tabia za kina Bishanga umetoa wapi?

Zile bia ulizotaka kuninunulia, fanza mpango zígeuke ada ya huyu dogo.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nakudai konyagi ndogo 4. Acha utapeli, wachaga ni wezi ila hawatapeli. Tabia za kina Bishanga umetoa wapi?

Madeni ya mwaka jana husahau? kwanza siku hizi konyagi nyingi feki. Achana nazo tusomeshe madogo.
 
Last edited by a moderator:

Loh, sasa ndiyo naanza kukuelewa, nilijua mwanafunzi wa chuo, nisamehe kwa post yangu ya hapo juu. Kumbe ni mtihani wa secondary school? Siku nyingine uwe muwazi kijana, weka usiogope wewe weka hata jina lako hapa, shulle (kituo), reference number, mawasiliano ya pale shuleni na vitu vyote muhimu, unajua siku hizi matapeli wamekuwa wengi, sasa na wewe unaweza kuingizwa kwenye kundi hilo na ukakosa msaada.
 
yaani katika sehemu zooote wewe umekuja kutumbukia MMU?!!!!...nina mashaka huenda bumu lote wametafuna wadada.

Mkuu, kuwa na ubinadamu japo kidogo. Dogo huenda hata hajajua kugegeda huyu.
 
jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada, makanisani au misikitin naimani watakusaidia, na hiz hela unazoweka bando za kuingia JF! jaribu kizichanga changa pia.
 
Acha matani, ujue niliandikiwa na dr ninywe konyagi ndogo 2 deile. Sema sasa hivi navuta msokoto mmoja kwa siku kwa afya ya jamii
Madeni ya mwaka jana husahau? kwanza siku hizi konyagi nyingi feki. Achana nazo tusomeshe madogo.
 
jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada, makanisani au misikitin naimani watakusaidia, na hiz hela unazoweka bando za kuingia JF! jaribu kizichanga changa pia.
Kwani huko kwenye nyumba za ibada wanatoa wapi hela kama siyo wewe kupeleka sadaka?
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…