Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,154
- 447
Eti eh jipe moyo....ingekuwa hvyo huyo kimbaumbau unayemwona hapo asingewekwa ndani....Kwahiyo usijumuishe hcho unachodhani wew ndiyo ndoa ukadhani kila mtu ndo anachukulia hvyohvyo....
Kila mwanaume aliyepuliziwa akakwaa kimbau mbau, lazima nje amiliki gari kubwa! Wana joto, acha tu.
Samahani kama wewe ni mhanga!