Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,639
Ole wako kiwe na simu ya Touch utapigiwa video calls hadi kero
Hahaha wewe kweli unawajua mamaeee ni wasumbufu mnoo ukichelewa ku-reply anakupigia mbona haujibu text zangu hahaa muda wote vina taka muwe mna chat as if havijui kuwa unafanya kazi. ..
Aisee hakuna kitu kigumu, kwa mzazi kama kumchunga binti yake lazima ataliwa tu .. kipindi cha nyuma nilikuwa na pigiwa na vibinti tofauti ambavyo viko boarding vina ni pigia simu usiku yaani -- simu yenyewe unakuta ni ya mwanafunzi 1 lakini wanaitumia bweni Zima kwaajili ya kuongea na vibwana vyao ' ... hatari sana aise

