Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,645
- 3,889
Hahahahahah uyo mzazi nomaana hapo usipokua makini nakuhakikishia hakuna rangi utaacha ona, maisha magumu wazazi wanaamua kutumia fursa kupitia hivi vibint. Unakuta kanajilengesha na wewe unakanasa ghafla bin vuu mzaz huyu hapa anadai mill 4 muyamalize kiutu uzima ukizingua unapelekwa police.




