Siku nilipoamua kuacha bangi rasmi

Siku nilipoamua kuacha bangi rasmi

Hii kitu nilisha acha miaka 15 iliyopita.
Sababu za kuacha:kunasiku,nikitokea eneo Fulani ambapo nilikuwa napata mafunzo flani,mida ya jioni naenda kwa pusha(alikuwa mtu mzima kiasi),ananipa nalizibua haswa,chata za maana,Kisha narudi zangu,Sasa Kuna siku nikalalamika kwamba ya jana haikuwa poa Sana,akaniambia ngoja kidogo,
Pusha akaingia ndani,kutoka katoka na vishada kadhaa,akaninyongea nikala kaya,piga Sana bomba,yaani full mietete!![emoji95],baada ya hapo Sasa,kila nikitembea naona Kama nakanyaga shimo wakat njia ni tambarale kabisa,kichwani nikawa naskia Kama mtu anagonganisha vyuma paaaa paaa,full kelele za nyuki,!
baada ya hiyo hali nikazama sehem ambayo tunalala,ebana utadhani kitanda kiliwekwa matairi jinsi ambavyo kilikuwa kinakimbia,Mambo ni mengi nikaamua kuachana nayo tu.
 
Hii kitu nilisha acha miaka 15 iliyopita.
Sababu za kuacha:kunasiku,nikitokea eneo Fulani ambapo nilikuwa napata mafunzo flani,mida ya jioni naenda kwa pusha(alikuwa mtu mzima kiasi),ananipa nalizibua haswa,chata za maana,Kisha narudi zangu,Sasa Kuna siku nikalalamika kwamba ya jana haikuwa poa Sana,akaniambia ngoja kidogo,
Pusha akaingia ndani,kutoka katoka na vishada kadhaa,akaninyongea nikala kaya,piga Sana bomba,yaani full mietete!![emoji95],baada ya hapo Sasa,kila nikitembea naona Kama nakanyaga shimo wakat njia ni tambarale kabisa,kichwani nikawa naskia Kama mtu anagonganisha vyuma paaaa paaa,full kelele za nyuki,!
baada ya hiyo hali nikazama sehem ambayo tunalala,ebana utadhani kitanda kiliwekwa matairi jinsi ambavyo kilikuwa kinakimbia,Mambo ni mengi nikaamua kuachana nayo tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu nna kula dry tu sijawahi kuvuta fegi wala kunywa pombe. Nakuwa niko bize na mambo yangu, acha kabisa dawa (ganja) nna miaka 12 nakula mmea.
Hizi za dar sijui ni za kichina yaani huoni hata wenge, halafu tusaidine kati ya dry na mixer ipi inafaa wakuu?
 
Ndo matatizo ya kusoma memkwa haya, unaenda shule huku umri wa kustaafu umefika lazma uvute mabange
 
Mkuu nna kula dry tu sijawahi kuvuta fegi wala kunywa pombe. Nakuwa niko bize na mambo yangu, acha kabisa dawa (ganja) nna miaka 12 nakula mmea.
Hivi kwa dar ni maeneo gani wanauza high grade?
 
Mi jamaangu tulimvutisha mara baada ya dakika 5 hivi akaanza kuvua shati eti anajifunika na kutufunika sisi tunamuuliza vipi anasema hii nvua ya leo itauwa mtu.
Mimi sijaacha kabisa mpaka sasadoctor alinishauri nisiache
Wavuta bangi utawajua tu.Acha bangi inamadhara makubwa na ni haramu
 
Back
Top Bottom