Siku nilipoamua kuacha bangi rasmi

Siku nilipoamua kuacha bangi rasmi

Wewe kama Mimi sema ilinizingua siku moja usiku ndio ikawa mwanzo na mwisho japo kuna muda naitamani sana,
Huu mmea una maajabu sana.
Unaweza jikuta, uliingia humu ,ukaanza kusoma story, ukanza kuona inafanan na yako kabisa, kumbe ni wewe ulihadithia

Una ji quote, Dah,hiii story kama yangu,kumbe ni wew ume hadithia na una ji quote mwenyewe.
 
Hii kitu sijawahi kuivuta maishani mwangu, ila nataka kuijaribu hebu nipeni uzoefu kwa watumiaji[emoji4] Kiufupi natumia pesa nyingi sana kwenye pombe kama kikiwa kilevi kizuri naweza okoa pesa nyingi mno. Naombeni ushauri wadau
 
Hii kitu sijawahi kuivuta maishani mwangu, ila nataka kuijaribu hebu nipeni uzoefu kwa watumiaji[emoji4] Kiufupi natumia pesa nyingi sana kwenye pombe kama kikiwa kilevi kizuri naweza okoa pesa nyingi mno. Naombeni ushauri wadau
Bahati nzuri ukiivuta hata mwezi hautaisha utaacha pombe. Kitaalamu bangi ni dawa ya kumwachisha mtu pombe
 
Mi nina takribani kama miaka 16 kwenye umokaji wa kitu,

Binafsi haijawahi nizingua may be sababu na dingi alikuwa anachoma, maana wanasema kama kwenye ukoo wenu hamna wamokaji lazima ikuzingue...

Ila kuna mwana mmoja nilikuwa namoka nae kama brain imezingua,

But siku hizi sichomi kama enzi zile za secondary, kwa siku unavuta hata ganja 30,

Siku hizi namoka kwa nadra sana....ila vibe la ganja usikwambie mtu
Tutakutafuta utupe ushirikiano.
 
Wewe hukuwa stoner bali uliforce Mkuu
Stoner wanakuwa inborn

Nakushauri ukimaliza kula mjani ongezea embassy tatu shushia na juice ya embe

Unafeel as high as ***
I smoke blunt blunt if only they rolled it proppa
 
Hizi za dar sijui ni za kichina yaani huoni hata wenge, halafu tusaidine kati ya dry na mixer ipi inafaa wakuu?
 
Back
Top Bottom