"Siku nikiwa free ntakwambia"

"Siku nikiwa free ntakwambia"

Streptokinase

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2018
Posts
278
Reaction score
447
Habari za mida hii wakuu?

Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Unakuta msichana anakupa namba vizuri, mnaongea vizuri tu ila linapokuja suala la kuonana sehem flan faragha au kuja ghetto anakupa iyo kauli "siku nikiwa free ntakwambia".

Baharia unaendelea kuisubiri iyo siku huku ukiwa unamjulia hali mara kadha wa kadha, lakini binti haongei chochote kuhusu iyo kauli yake.

Ukijaribu kukumbushia unapigwa kauli ileile "siku nikiwa free ntakwambia". Miezi inaendelea kukatika baharia unapigwa jibu hilohilo.

Kiukweli nyie mabinti mnatutesa sana na hii kauli yenu, kama haumtaki mtu ni bora umwambie moja kwa moja tu
Screenshot_20191014-173108_Instagram.jpeg
 
We subir huku akiliwa na wenye wanaiona free...
We ukiona anasema sema nimekumiss miss nying,Ndo kashakwambia tayar yu friii
 
Pole sana...

Anashindwa tu kukumbia hana nauli...

Mtumie nauli alafu muulize lini tutaonana... utasikia nipo nje kwako hapo, nimekuja kutoa hela mara moja, ila sikai sana..



Cc: mahondaw
 
Aahahahahahahhaaa unanisema huku jukwaanii.... Looh mnisamehe buree ni katabia kangu ka kuwa na aibu....
 
Mbona unatuaibisha wanachama wenzako! Unakwama wapi?

Akikwambia nitakuja siku nikiwa free
"Mwambie bila yeye hujiwezi, mtumie nauli ya taxi na yakutolea". Na utume kweli

Akipangua hiyo mualike dinner au lunch sehemu nzuri ya kuvutia

Akipangua tena hiyo mnunulie zawadi yeyote nzuri. Mwite kwa style hiyo pia.

Asipokuja muache, tafuta mwingine. Huyo atakuwa na mtu wake na watakuwa wanapendana sana au jamaa kambana au atakuwa hakupendi.
 
We subir huku akiliwa na wenye wanaiona free...
We ukiona anasema sema nimekumiss miss nying,Ndo kashakwambia tayar yu friii
Haleti hizo nakumiss miss mkuu, yan yeye anarespond story unazompa tu basi
 
Mwanamke anayekupenda ukimwambia njoo gheto/nyumbani anaacha kila kitu na kutii amri yako fasta.
Kama hupendwi kaka utaishia kupewa ahadi za CCM mpaka unakufa.
Kwaio unataka kusema sipendwi mkuu? hapo bado sijatongoza ndo naandaa mazingira
 
Pole sana...

Anashindwa tu kukumbia hana nauli...

Mtumie nauli alafu muulize lini tutaonana... utasikia nipo nje kwako hapo, nimekuja kutoa hela mara moja, ila sikai sana..



Cc: mahondaw
Naogopa kutuma mkuu si unajua matapeli wengi mjini apa, ila nilimwabia aje na uber ntalika akakaza.

Cha ajabu nikimtext ananijibu fresh afu faster tu
 
Mbona unatuaibisha wanachama wenzako! Unakwama wapi?

Akikwambia nitakuja siku nikiwa free
"Mwambie bila yeye hujiwezi, mtumie nauli ya taxi na yakutolea". Na utume kweli

Akipangua hiyo mualike dinner au lunch sehemu nzuri ya kuvutia

Akipangua tena hiyo mnunulie zawadi yeyote nzuri. Mwite kwa style hiyo pia.

Asipokuja muache, tafuta mwingine. Huyo atakuwa na mtu wake na watakuwa wanapendana sana au jamaa kambana au atakuwa hakupendi.
Woman is overrated. [Kwenye mapenzi]

Yaani madoido yote hayo unabembeleza mtu ya nini sasa. Unamwalika sehemu inaweza kuwa dinner au popote akikataa bila sababu unatupa recycle bin.
 
Aahahahahahahhaaa unanisema huku jukwaanii.... Looh mnisamehe buree ni katabia kangu ka kuwa na aibu....
Fanya uje ghetto basi dah, nimekusubiri sana, iyo siku ambayo upo free haifiki tu?
 
Mbona unatuaibisha wanachama wenzako! Unakwama wapi?

Akikwambia nitakuja siku nikiwa free
"Mwambie bila yeye hujiwezi, mtumie nauli ya taxi na yakutolea". Na utume kweli

Akipangua hiyo mualike dinner au lunch sehemu nzuri ya kuvutia

Akipangua tena hiyo mnunulie zawadi yeyote nzuri. Mwite kwa style hiyo pia.

Asipokuja muache, tafuta mwingine. Huyo atakuwa na mtu wake na watakuwa wanapendana sana au jamaa kambana au atakuwa hakupendi.
Ngoja nijaribu iyo ya zawadi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom