CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Wazungu ni watu wa ajabu sana, na wanaamini wanaweza wao tu, na sisi hatuwezi na hatuna information za kuweza kufanya kama wao.
Ilitokea mwaka juzi, kuna Mzungu Arusha analima zao fulani hivi, na sisi tukawa tunalima the same zao kama yeye.
Sasa Mzungu katika pitapita zake Soko kuu Arusha akakutana na hiyo product kama yake kabisa, alishituka sana, hakuongea kitu. Baada ya kama wiki akapita tena akaikuta sasa pale alicho fanya akamuuliza muuzaji nani anakuletea hii product? Jamaa kasema kuna watu huwa wanaleta, Ok Mzungu akamwambia basi nakuachia namba na pesa alimpatia kama 100,000/ akamwambia siku wakileta tu, nipigie simu na wacheleweshe hapo kama dakika 10.
Sasa siku ya tukio kuna dogo tulikuwa tunamtumaga ingawa siku zingine nilikuwa naenda mwenyewe, Dogo kapeleka mzigo kufika yule mnunuzi kama alivyo elekezwa na Mzungu akafanya vile, baada ya dakika kama 8 hivi askari wakatinga na Gari wakamuweka Dogo mtu kati, Mzungu hapo yuko njiani anakuja, Mzungu kufika dogo akaanza kubanwa kwamba anatoa wapi product, dogo kamwambia tunashamba ndiko tunako toa.
Mzungu kasema Dogo akawaonyeshe shamba, Gari ikawashwa ya Police na ya Mzungu hadi shambani, Mzungu kufika kweli akaona shamba na product ipo kweli.
Dogo Mzungu alimtoa kama elfu 20 kama samahani ya usumbufu dogo kaona ni kubwa kapotezea, Pilice sijui aliwatoa sh ngapi, aisee nilikuja kupata habari nikasema yaani Mungu mkubwa maana yake ningekuwa ni mimi huo moto usingezimika kamwe, pamoja na kwamba walimalizana kienyeji ila nilimtafuta yule Mzungu nikamweleza live na nikamwambia una bahati maana yake ungeuza hadi hilo shamba.
Mzungu alijua fika kwamba hakuna Waafrica wanao weza kufanya, mbaya ni kwamba tulikuwa tusha pata password ya mbolea anayo tumia na kila kitu so tukawa tunatoa quality sawa na yake.
Ilitokea mwaka juzi, kuna Mzungu Arusha analima zao fulani hivi, na sisi tukawa tunalima the same zao kama yeye.
Sasa Mzungu katika pitapita zake Soko kuu Arusha akakutana na hiyo product kama yake kabisa, alishituka sana, hakuongea kitu. Baada ya kama wiki akapita tena akaikuta sasa pale alicho fanya akamuuliza muuzaji nani anakuletea hii product? Jamaa kasema kuna watu huwa wanaleta, Ok Mzungu akamwambia basi nakuachia namba na pesa alimpatia kama 100,000/ akamwambia siku wakileta tu, nipigie simu na wacheleweshe hapo kama dakika 10.
Sasa siku ya tukio kuna dogo tulikuwa tunamtumaga ingawa siku zingine nilikuwa naenda mwenyewe, Dogo kapeleka mzigo kufika yule mnunuzi kama alivyo elekezwa na Mzungu akafanya vile, baada ya dakika kama 8 hivi askari wakatinga na Gari wakamuweka Dogo mtu kati, Mzungu hapo yuko njiani anakuja, Mzungu kufika dogo akaanza kubanwa kwamba anatoa wapi product, dogo kamwambia tunashamba ndiko tunako toa.
Mzungu kasema Dogo akawaonyeshe shamba, Gari ikawashwa ya Police na ya Mzungu hadi shambani, Mzungu kufika kweli akaona shamba na product ipo kweli.
Dogo Mzungu alimtoa kama elfu 20 kama samahani ya usumbufu dogo kaona ni kubwa kapotezea, Pilice sijui aliwatoa sh ngapi, aisee nilikuja kupata habari nikasema yaani Mungu mkubwa maana yake ningekuwa ni mimi huo moto usingezimika kamwe, pamoja na kwamba walimalizana kienyeji ila nilimtafuta yule Mzungu nikamweleza live na nikamwambia una bahati maana yake ungeuza hadi hilo shamba.
Mzungu alijua fika kwamba hakuna Waafrica wanao weza kufanya, mbaya ni kwamba tulikuwa tusha pata password ya mbolea anayo tumia na kila kitu so tukawa tunatoa quality sawa na yake.