ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,377
- 28,493
Magoli mia katika ligi nne tofauti na timu ya taifa.
GOAT ni mmoja tu!
Wala ahahitaji xavi au iniesta wa kumpenyezea, jamaa ni mashine ya magoli.
Ndugu yenu psg imemshinda, marekani napo pamemshinda ila mwamba ronny hadi jangwani ameyapata magoli and oooh he is 40😦
GOAT ni mmoja tu!
Wala ahahitaji xavi au iniesta wa kumpenyezea, jamaa ni mashine ya magoli.
Ndugu yenu psg imemshinda, marekani napo pamemshinda ila mwamba ronny hadi jangwani ameyapata magoli and oooh he is 40😦