Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 2,608
- 5,487
Siku Ronaldo akibeba kombe la dunia tukuafnye aje??
Si kwamba hatujui haya yoteYule andunje utake usitake, ni bora zaidi ya cr7..
Ukizungumzia mpira tu basi messi ni pele wa zama hizi, messi akupa kila kitu, mpaka unaburudika na kumtizama.
Cr7 huwezi kuinjoi kumtizama akicheza, ye alishagundua kuwa ili awike ni kufunga, haijalishi goli la namna gani, muhimu afunge tu
Bado atakuwa anadaiwa balon Kama 3 hivi na vingimevingine kibaoSiku Ronaldo akibeba kombe la dunia tukuafnye aje??
Magoli mia katika ligi nne tofauti na timu ya taifa.
GOAT ni mmoja tu!
Wala ahahitaji xavi au iniesta wa kumpenyezea, jamaa ni mashine ya magoli.
Ndugu yenu psg imemshinda, marekani napo pamemshinda ila mwamba ronny hadi jangwani ameyapata magoli and oooh he is 40😦
View attachment 3450608