Siku Marekani ikisambaratika, kitatokea nini duniani?

Siku Marekani ikisambaratika, kitatokea nini duniani?

Historia inaonesha kwamba Dola kubwa duniani zimewahi kusambaratika. Lakini katika zama zetu, Marekani ni Dola kubwa Ulimwenguni.

Huwa najiuliza ikitokea nchi ya Marekani ikasambaratika, kitatokea nini duniani?
Ikianguka itakuwa kwa taratibu sio jambo la usiku mmoja hivyo ikiwa kwenye anguko kutakuwa na wakuchukua nafasi yake.
 
Huo ndio ukweli.
Misaada, mikopo na vitisho vyake vya vikwazo vya uchumi angalau vinawatatiza na kuwatisha kiasi fulani madikteta uchwara kuingiza nchi zao kwenye total dictatorship.
Marekani ndiye anasababisha Afrika tunafanya uchaguzi, akidondoka tutarudi kwenye Ufalme na Wafalme

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huo ndio ukweli.
Misaada, mikopo na vitisho vyake vya vikwazo vya uchumi angalau vinawatatiza na kuwatisha kiasi fulani madikteta uchwara kuingiza nchi zao kwenye total dictatorship.
Bora Marekani aendelee kuwepo, pamoja na kwamba anakuwa na sera za kikuda ie ushoga etc ila kupitia yeye angalau twaona nchi zinajiheshimu.

Pata Picha China ndiye Bwana mkubwa duniani.

Kila mtu angekuwa boss na hakuna kitu watu wangefanya.

Pia tujue kuanguka kwa Marekani itakuwa chanzo cha vita nyingi kila sehemu duniani, na ndio itakuwa mwisho wa dunia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
.
Screenshot_20230313-142551_100830.jpg
 
Dola huanguka taratibu, haipotei ghafla kama sarafu ni process ya taratibu tu ndiyo huangusha Dola, kipindi Hilo linatokea Dola nyingine huchukua nafasi taratibu au mfumo mwingine huchukua nafasi taratibu Hadi mambo kutengamaa.

Kiranja wa Dunia huja na kupotea, tulikuwa na uingereza kipindi hicho yuko top, hakuna hata Mmoja aliyemkaribia Sasa hivi yuko wapi?, Mambo hubadilika mifano Iko mingi kwenye hilo, tulikuwa na Ottomani kipindi hicho hadi kufikia vita ya kwanza ya Dunia ottoman tayari iko hoi taabani nk.

Anguko huwa linaenda taratibu tena mkikaa vibaya, si wananchi Wala mamlaka watakao jua kuwa taifa letu linapotea kuja kushtuka tayari mmezidiwa ujanja mnabaki kukubali matokeo, ndio maana Kuna watu kazi Yao ni kuhakikisha taifa linasimama kidete, hao wakishindwa taifa nalo ndo hudidimia kabisa.
 
Hakutakuwa na Vita Kona yoyote ile duniani,ustawi wa watu maana unyinyaji itakua umepotea na vikwazo vinavyoleta ugumu wa maisha(Korea kadkazini,Iran,Venezuela, Cuba) havitokuwepo
wewe ni raia wa hizo nchi ? ww umepewa pesa za kujenga vyoo utazitoa wap?
 
Marais madikteta watachinja raia wao kama watakavyo na tutapata tabu sana, sababu china na Russia Huwa hawajali raia wa nchi zingine kunyanyaswa na viongozi wao madketa. US ndo speed governor ya madikteta.
 
Back
Top Bottom