Siku kama ya leo!!!!

Siku kama ya leo!!!!

charminglady lazima niende mlingotini yaani yaani yaani yaaani yaaani yaani yaani hujanitaja hata kurekognize kwamba nipo
Hapa naona kuna mkono wa Erickb52 na Nicas Mtei tuu sikubali
Hongera sana kwa kuwa kwako humu. Mimi sijui hata nani alinikaribisha ila ni mkongwe sana humu aise
 
Last edited by a moderator:
charminglady lazima niende mlingotini yaani yaani yaani yaaani yaaani yaani yaani hujanitaja hata kurekognize kwamba nipo
Hapa naona kuna mkono wa Erickb52 na Nicas Mtei tuu sikubali
Hongera sana kwa kuwa kwako humu. Mimi sijui hata nani alinikaribisha ila ni mkongwe sana humu aise

Huo utakuwa mkono wa Erickb52. Nami ni mhanga
 
Last edited by a moderator:
Kuna mengi wengi watakupa nawe utafurahi, lakini hayo yote hayawezi kulizidi pendo la Baba na Mama.
Tunakupenda sana our little princess, uwe na amani siku zote ukaazo hapa jamvini ukijua kuwa tupo tunaokujali.

Much love from,
Daddy, watu8 na Mummy measkron

Thank you very much daddy...

11775817370dGuR0.jpg
 
Last edited by a moderator:
charminglady lazima niende mlingotini yaani yaani yaani yaaani yaaani yaani yaani hujanitaja hata kurekognize kwamba nipo
Hapa naona kuna mkono wa Erickb52 na Nicas Mtei tuu sikubali
Hongera sana kwa kuwa kwako humu. Mimi sijui hata nani alinikaribisha ila ni mkongwe sana humu aise

Mh ... wivu tu, sasa nikianza kuwataja wote si server itajam lol... haya we ntakushukuru kwa PM lol....
 
Last edited by a moderator:
endeleeni kuwa pamoja tu, ila natamani maneno ya kwenye signature yako ungekuwa unayafata mkuu wa kikuyu

Kumbe kawivu bado kapo eeehhhh..... :becky: :becky:
 
endeleeni kuwa pamoja tu, ila natamani maneno ya kwenye signature yako ungekuwa unayafata mkuu wa kikuyu
Kuwa pamoja we kunakuuma nini C6 ?
Mbona mi nimekuachia uncle wangu?
Halafu kuwa pamoja hakumaanishi tunaharibu kanuni fulani NO!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom