kila kukicha viongozi wa ccm wamekuwa wanatumia jeshi la polisi kwa maslahi ya ccm kana kwamba lipo kwa ajili ya chama chao lakini wakae wakijua kuwa haki zinazodaiwa na wananchi wa tabaka la chini ndio hizo ambazo hata polisi wangependa kuzipata.
Ni vipi siku wakiasi?
Ni vipi siku wakiasi?