1. Hapa ndo wanaume tunadanyanyika..eti nina mimba yako tayari! Unamchukua unafunga nae arusi! Kumbe wapi..mtoto anazaliwa wa jamaa mwingine!!
2. Utajuaje kama mimba demu wako aliyobeba ni yako???
Hili nimelishuhudia hivi karibuni kila harusi nayohudhuria zaidi ya tatu Bibi harusi tumbo ndi tena kuubwa,
Au huu ni utaratibu mpya hadi uhakikishe kitu kimenasa ndio utangaze ndoa dunia ya leo uongo umezidi??
hata mi mwenyewe nikimzimia demu mkali sana, halafu naona analeta longolongo yani bado hajaamua vizuri nimuweke ndani, au wazazi wake wanaleta miyeyusho, dawa moja tu: NAMTUNDIKA MIMBA!
kwishney.
Maadili siku hizi yameporomoka, nashangaa watu wazima wanatetea mimba kabla ya ndoa loh!!! Hili jambo mie sikubaliani nalo kabisa eti mfanye uasherati wenu na mimba juu ndio ndoa ifungwe. Kweli dunia ya sasa asilimia kubwa ya wanaume hawezi kuoa msichana bila kumegana, ambacho ni kinyume na maadili ya kwetu. Kutokana na mambo ya globalization watu sasa kumegana kama kawaida.
Ila hii tabia ya kumegana hadi mnatiana mimba na kwenda mbele altar huku mdada kitumbo kimejaa wala sio heshima mbele ya Mungu.
Maadili siku hizi yameporomoka, nashangaa watu wazima wanatetea mimba kabla ya ndoa loh!!! Hili jambo mie sikubaliani nalo kabisa eti mfanye uasherati wenu na mimba juu ndio ndoa ifungwe. Kweli dunia ya sasa asilimia kubwa ya wanaume hawezi kuoa msichana bila kumegana, ambacho ni kinyume na maadili ya kwetu. Kutokana na mambo ya globalization watu sasa kumegana kama kawaida.
Ila hii tabia ya kumegana hadi mnatiana mimba na kwenda mbele altar huku mdada kitumbo kimejaa wala sio heshima mbele ya Mungu.
Mie mzima mpendwa! Hayo maneno ni mmegano( mambo ya ndani ya kuta nne) kama ujuavyo kiswahili kinakua kila leo.Wajisikiaje leo mrembo weye? Hebu naomba unieleze maana ya hayo maneno nloyatia wekundu hapo juu. Mnyaaazi Mungu na akubariki akujaze baraka tele.
Mie mzima mpendwa! Hayo maneno ni mmegano( mambo ya ndani ya kuta nne) kama ujuavyo kiswahili kinakua kila leo.
Nawe ubarikiwe.
Kuna jamaa yangu alioa..akaa na mke miaka 6 bila mtoto..kumbe yule binti aliwahi kubeba mimba mimba ya mtu mwingine akaitoa na kuharibu kizazi!
wanawake hawaaminiki siku hizi!
Kwani yeye alioa kwa kumpenda huyo binti au alioa ili apate watoto?
tatizo mabinti wa leo ABORTION ZIMEKUWA MINGI na zimewapelekea kuwa barrens.watoto wa kiume wa sasa lazima watest zali kwa hali na mali ndipo kwenu wake watoe mahali ili iwe halali,then kuserebuka mambo ya hululation LELELELELELELELELELELLEEEEEE! yanafuata.kinyume na hilo hapana bana!
Unaweza kuwa na point kubwa sana Geoff, lakini ukiangalia upande mwingine wa shilingi, unakuta akina kaka ndio wanawasukuma kina dada kutoa hizo mimba.Na Mungu anavyojua kulipa hapahapa duniani, mwanaume ambaye ama alilazimisha mwanamke wake atoe mimba au alikataa mtoto anakuja kujutia kitendo hicho .Anapokuja kufunga ndoa na kitu "fresh" basi hawapati cha mtoto wala nini!
Na isitoshe kwani mwanaume unaposhirikiana na mwanamke kufanya kitendo ujue kuna uwezekano wa kupata ujauzito hivyo ni bora wewe mwanaume ukajitahidi kutumia kinga dhidi ya mimba,magonjwa na hasa UKIMWI.