Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Hadi kufikia siku ya jana nimehudhuria harusi 6 ndani ya mwaka huu, kitu kilichonishangaza na kunifanya nije na mada hapa ndani ya hizo 6 nimeshuhudia harusi 5 bibi harusi yuko ndani ya shela na kimimba tena kimimba cha maana sasa sijajua siku hizi ni fasheni kwamba mpaka kitumbo ndo uoe au ndo ile ukimpa mtoto wa watu kibendi basi unalazimishwa kuoa