Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
kuna wanaopata bila kupanga(HAWA MIMI SIWAJADILI)Come to think of it..........Hivi huwa wanafanya makusudi? Sio kuwa mimba inashika bila kupanga na suluhisho lake ni kufunga ndoa? au wanabambikiwa na kina dada?
kuna wanaobambikiwa na mabinti(HAWA KWAKWELI NI KAMA HAWAPO)
NINAOWAZUNGUMZIA MIMI;ni wale wapenzi wanaoplan marriages.wengi wengi wengi sana huwa wanahakikisha mwanamke ana mimba ndipo waanze mchakato wa ndoa takatifu!....(kwenye hili mimi siongei kwa uzoefu wa vitabuni,NAH!NINAYAONA)....nimeenda semina ya ndoa NIMEYAONA.