Sitaki kuamini
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 343
- 1,006
Wakuu
Yule kinara wa kujipatia ushindi wa mezani siku chache zijazo anaenda kujipatia ushindi tena. Anaenda kutangaza neema kwa wafanyakazi (watumwa) wa nchi hii, ikiwa imesalia miezi michache tuingie kwenye uchaguzi mkuu.
Hii itakuwa ni zaidi ya kikokotoo.
Atatangazwa na kusifiwa kila kona.
Yule kinara wa kujipatia ushindi wa mezani siku chache zijazo anaenda kujipatia ushindi tena. Anaenda kutangaza neema kwa wafanyakazi (watumwa) wa nchi hii, ikiwa imesalia miezi michache tuingie kwenye uchaguzi mkuu.
Hii itakuwa ni zaidi ya kikokotoo.
Atatangazwa na kusifiwa kila kona.