Mkuu unajua ulichoandika...? Hali za shule za gvt ni mbaya hasa hasa sec.Kwa taarifa awamu hii watoto wamepunguwa sana huko private schools na walimu wanawapeleka watoto wap kwenye shule wanazofundisha kwani wanajua kiwango cha elimu shule za serikali kimepanda baada ya walimu vilaza kutumbuliwa,waliobaki ni walimu weledi na wanapiga kazi kisawasawa kuwanoa watoto.Wewe utakuwa umefukuzwa serikalini ukaenda kujibanza uko private.
Hawa wanaowatetea itakua ni ndugu zao maana wanakosa vimizinga vya hapa na paleWatumishi wanaimani kubwa na mheshimiwa ndio maana wanaunga mkono juhudi kwa kuchapa kazi kwasi ya awamu ya nne,hao wanaopita humu kulalamika niwale wafanyakazi hewa na wapiga madili ambao kwa sasa wanaishi kama mashetani.
Hana fedha wala nia ya kuongeza mishahara,hapendi kuwaona mkifurahia maisha.Mwenye fedha utamtambua kwa matumizi ayafanyayo.Wakuu
Yule kinara wa kujipatia ushindi wa mezani siku chache zijazo anaenda kujipatia ushindi tena. Anaenda kutangaza neema kwa wafanyakazi (watumwa) wa nchi hii, ikiwa imesalia miezi michache tuingie kwenye uchaguzi mkuu.
Hii itakuwa ni zaidi ya kikokotoo.
Atatangazwa na kusifiwa kila kona.
unawaita watoa huduma kwa umma watumwa? wivu wa kukosa ajira serikalini huuWakuu
Yule kinara wa kujipatia ushindi wa mezani siku chache zijazo anaenda kujipatia ushindi tena. Anaenda kutangaza neema kwa wafanyakazi (watumwa) wa nchi hii, ikiwa imesalia miezi michache tuingie kwenye uchaguzi mkuu.
Hii itakuwa ni zaidi ya kikokotoo.
Atatangazwa na kusifiwa kila kona.
Wakuu
Yule kinara wa kujipatia ushindi wa mezani siku chache zijazo anaenda kujipatia ushindi tena. Anaenda kutangaza neema kwa wafanyakazi (watumwa) wa nchi hii, ikiwa imesalia miezi michache tuingie kwenye uchaguzi mkuu.
Hii itakuwa ni zaidi ya kikokotoo.
Atatangazwa na kusifiwa kila kona.