Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kampuni ya ndege ya tanzania (ATCL)liko katika mchaakato wa kubadili jina na kuitwa AIRTANZANIA EXPRESS...akiongea na mtoa chanzo amesema wameambiwa tangu mwezi wa 4 kutafuta pesa kwa ajili ya redanders ya wafanyakazi wote inayokadiriwa kufikia billion 16.....na kuanza kuajiri upya.akiwa katika kuongea kwa machungu alisema laiti wanaotarajiwa kufanya haya mwl nyerere asikie na kuwahoji mmoja baada ya mwingine.......
Habari zaidi zinasema kampuni hiyo mpya inayotarajiwa kuanzishwa na wachina wanaoitwa sonagol ilitarajiwa kuanza kazi rasmi jul 02/2009 lakini kutokana na mchakato wa madeni ya kampuni hii wachina waliona kuibeba ATCL kama yenyewe bora waende sudan kusaka madini...wakiwa katika mikutano yao wachina hao ambao inasemekana walikuja kwa nia ya kusaini mikataba kulingana na makubaliano ya awali na serikali walijikuta wakiambiwa tofauti na hivyo kutoa mwongozo wao wa kuichukua kampuni hiyo ambapo moja ya mada iliyoitetemesha serikali ni swala la madeni ya kampuni.likifwatiwa na swala la nani awe CEO, nani awe CFO..katika mchakato huo viongozi wa sonagol kampuni iliokabidhiwa jukumu la kuinyanyua aitanzania wamesema na kuweka wazi vyeo vya CEO&CFO lazima vikaliwe na watu wao hapo moto mwingine ukaanza....., ilikubaliwa serikali waendelee kubeba madeni ya kampuni huku wachina wakijitayarisha kuanzisha shirika lao jipya litakalojulikana kaama AIRTANZANIA EXPRESS....
kwa mwenye dondooo zaidi atuletee jukwaani tutathmini kweli imefikia hatua ya kuanzishwa shirika jipya ama uzandiki wa viongozi wetu....
ukiwa katika kutoa mawazo yako binafsi kwa ajili ya ufanisi wa kampuni hii angalia mambo yafuatayo
1)))je ni kweli shirika limefikia hali mbaya kubadilishwa jina na kupewa wachina
2))je kuna haja ya kuwa na Top management itakayoongozwa na wachina...\
3)je ni kweli tanzania na serikali ya tanzania imeshindwa kabisa kulinyanyua kampuni hii bila kutegemea wawekezaji...ni kweli hakuna kiongozi ambae anajua airline industry vyema na kuweza kuikoa kampuni hii pasipo kutegemea hawa wachina...
4)tusiache kuangalia haswa nini chanzo kilichoipelekea kampuni hii kufikia hapo ilipo,,...
unakaribishwa
Habari zaidi zinasema kampuni hiyo mpya inayotarajiwa kuanzishwa na wachina wanaoitwa sonagol ilitarajiwa kuanza kazi rasmi jul 02/2009 lakini kutokana na mchakato wa madeni ya kampuni hii wachina waliona kuibeba ATCL kama yenyewe bora waende sudan kusaka madini...wakiwa katika mikutano yao wachina hao ambao inasemekana walikuja kwa nia ya kusaini mikataba kulingana na makubaliano ya awali na serikali walijikuta wakiambiwa tofauti na hivyo kutoa mwongozo wao wa kuichukua kampuni hiyo ambapo moja ya mada iliyoitetemesha serikali ni swala la madeni ya kampuni.likifwatiwa na swala la nani awe CEO, nani awe CFO..katika mchakato huo viongozi wa sonagol kampuni iliokabidhiwa jukumu la kuinyanyua aitanzania wamesema na kuweka wazi vyeo vya CEO&CFO lazima vikaliwe na watu wao hapo moto mwingine ukaanza....., ilikubaliwa serikali waendelee kubeba madeni ya kampuni huku wachina wakijitayarisha kuanzisha shirika lao jipya litakalojulikana kaama AIRTANZANIA EXPRESS....
kwa mwenye dondooo zaidi atuletee jukwaani tutathmini kweli imefikia hatua ya kuanzishwa shirika jipya ama uzandiki wa viongozi wetu....
ukiwa katika kutoa mawazo yako binafsi kwa ajili ya ufanisi wa kampuni hii angalia mambo yafuatayo
1)))je ni kweli shirika limefikia hali mbaya kubadilishwa jina na kupewa wachina
2))je kuna haja ya kuwa na Top management itakayoongozwa na wachina...\
3)je ni kweli tanzania na serikali ya tanzania imeshindwa kabisa kulinyanyua kampuni hii bila kutegemea wawekezaji...ni kweli hakuna kiongozi ambae anajua airline industry vyema na kuweza kuikoa kampuni hii pasipo kutegemea hawa wachina...
4)tusiache kuangalia haswa nini chanzo kilichoipelekea kampuni hii kufikia hapo ilipo,,...
unakaribishwa