Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hao wabunge wenu wameshajua kuwa bila hata kupigiwa kura wataingia bungeni tu mtake msitake.
Siyo kweli sawasawa kwani huyo jamaa mwenye kofia nyeupe kwenye picha hii pia ni mbunge na hapo yuko jimboni kwake mara baada ya kuapishwa akiwa anashirikiana na wananchi wake kutatua kero za usafiri.Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi.
Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo.
Huku majimboni pia kwa kuwa kampeni zao hazikuwa serious wananchi atutambui hata walituahidi nini maana wengi awakupata hata huo muda wakutoa ahadi.
Dr. Bashiru wafukuze wabunge huko mjini waje wafanye kazi walizoomba, ukitupuuza wananchi atutakuwa na chakukufanya ila tutakuwa na chakuwafanya kama tulivyowafanya uchaguzi uliopita. Mlitudharau kwa miaka mitano, mlipokuja kuomba kura tukawakataa adharani hadi mkatumia nguvu ya dola kupata uteuzi badala yakuchaguliwa.
Jifunzeni kuheshimu walio wengi wenye shida kuliko kuwakumbatia wachache walioshiba.
Eleza kipi wamefanya sio kupinga tu km vile kichwani una vacuum.Upuuzi na uwongo, wacha wabunge wachape kazi.Kipimo ni 2025
Mbunge hajengi choo,hajengi Darasa,hajengi zahanati,kazi yake ni kuongea tu bungeni,kusema changamoto za jimboni mwake,Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi.
Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo.
Huku majimboni pia kwa kuwa kampeni zao hazikuwa serious wananchi atutambui hata walituahidi nini maana wengi awakupata hata huo muda wakutoa ahadi.
Dr. Bashiru wafukuze wabunge huko mjini waje wafanye kazi walizoomba, ukitupuuza wananchi atutakuwa na chakukufanya ila tutakuwa na chakuwafanya kama tulivyowafanya uchaguzi uliopita. Mlitudharau kwa miaka mitano, mlipokuja kuomba kura tukawakataa adharani hadi mkatumia nguvu ya dola kupata uteuzi badala yakuchaguliwa.
Jifunzeni kuheshimu walio wengi wenye shida kuliko kuwakumbatia wachache walioshiba.
Shule za kayumba nazo ni shida,kibaya zaidi ukichanganya na roho mbaya .Eleza kipi wamefanya sio kupinga tu km vile kichwani una vacuum.
Uongo mtupu.Aaa umewasingizia mkuu. Nadhani hakuna kipindi ambapo wabunge watakaa majimboni kama hiki.
Siye wetu kila siku tupo naye hadi kwenye vijiwe vya kahawa.
Wanapiga kazi tu... Acha kazi iendelee.
Wacha wale Raha mkuu Mishahara Mil.11 unataka wakazilie vijijini?Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi.
Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo.
Huku majimboni pia kwa kuwa kampeni zao hazikuwa serious wananchi atutambui hata walituahidi nini maana wengi awakupata hata huo muda wakutoa ahadi.
Dr. Bashiru wafukuze wabunge huko mjini waje wafanye kazi walizoomba, ukitupuuza wananchi atutakuwa na chakukufanya ila tutakuwa na chakuwafanya kama tulivyowafanya uchaguzi uliopita. Mlitudharau kwa miaka mitano, mlipokuja kuomba kura tukawakataa adharani hadi mkatumia nguvu ya dola kupata uteuzi badala yakuchaguliwa.
Jifunzeni kuheshimu walio wengi wenye shida kuliko kuwakumbatia wachache walioshiba.