f de solver
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,339
- 1,834
Sawa na ujipange sawa sawa karbu CONAS supplementary kama njuguNamuomba mungu niende udsm pale microbiology
Sawa na ujipange sawa sawa karbu CONAS supplementary kama njuguNamuomba mungu niende udsm pale microbiology
mkuu mbona wanitisha hivoSawa na ujipange sawa sawa karbu CONAS supplementary kama njugu
hakuna point 14 wewe mwisho kumiUpo safe kama umechagua, tatzo wengi wana ufaulu wa kuungaunga alaf anachagua MD, BVM, cjui engeneering ila hawataki kuangalia ufaulu upo vp, ni kwel unakuta kwenye course cutoff points wanataka labda 5 na wewe una 6 au 7 lakn wangap wamechangua course iyo iyo ila wana points 9, 10, 12 au 14?
una I ya ngapi mkuuCivil Engineering UDSM
Kama nna A 3 apo ni point ngaphakuna point 14 wewe mwisho kumi
sawa kwa kigezo cha masomo mawili hamna point 14Kama nna A 3 apo ni point ngap
Ipo mkuu si A ni tano sasa ukijumlsha si ni 15 mcahnganuo A-5,B-4,C-3,D-2,E-1,S-0.5,F-0hakuna point 14 wewe mwisho kumi
Mbona udsm kuna coz wamesema ken masomo matatu uwe na kuanzia point 5?sawa kwa kigezo cha masomo mawili hamna point 14
points zinaangaliwa kwa masomo mawili mkuuIpo mkuu si A ni tano sasa ukijumlsha si ni 15 mcahnganuo A-5,B-4,C-3,D-2,E-1,S-0.5,F-0
This is Good bt lot of challengesEnv.Health Sciences-muhas
Hahahhaha....mbona hata II na III nshaziona hapo udsm.(CVL ENG)una I ya ngapi mkuu
kwann mkuuuThis is Good bt lot of challenges
Ivi hii course ndo inatupa wataalam gani nilijaziwa tuu hata cjui no niniBsc chem udom
Watu hukalili maishaHahahhaha....mbona hata II na III nshaziona hapo udsm.(CVL ENG)