Naomba ushauri au tiba kwa sikio langu la kushoto lina wiki sasa halisikii vizuri yani lipo kama lina maji kwa ndani lakini halina maji nimejaribu kulisafisha kwa pamba halina uchafu lakini bado halisikii vizuri.
Habari,
naomba ushauri au tiba kwa sikio langu la kushoto lina wiki sasa halisikii vizuri yani lipo kama lina maji kwa ndani lakini halina maji nimejaribu kulisafisha kwa pamba halina uchafu lakini bado halisikii vizuri,.
Mi mwenyewe sikio LA kuria linanisumbua sana kwa mda mrefu, nakuwa sisikii vizuri kulinganish na mwanzo nimeenda hospital wameengalia ngoma za sikio wanasema hazina tatzo nikaamua kwenda hospital tofaut na mhimbili, lakini vipimo vilevile walitumia had sasa bado hali inanisumbua sana, naomba kwa Mwenye kujua tiba sahihi anisaidie,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.