GE2025 sikilizeni matokeo ya kikao cha CCM live

GE2025 sikilizeni matokeo ya kikao cha CCM live

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Sangamwalogesha

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2025
Posts
2,144
Reaction score
1,300
Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma. CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu. Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA TUNATIKI na Rais wetu ni Dr. SAMIA SULUHU HASSAN, aendelee kutuletea suluhu ya matatizo yetu wananchi

Fuatilia hapa: LIVE - Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM akishiriki Mkutano Mkuu Maalum CCM kwa Njia ya Mtandao, Dodoma, 26 Julai, 2025
 
Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma. CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu. Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA TUNATIKI na Rais wetu ni Dr. SAMIA SULUHU HASSAN, aendelee kutuletea suluhu ya matatizo yetu wananchi

Fuatilia hapa: LIVE - Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM akishiriki Mkutano Mkuu Maalum CCM kwa Njia ya Mtandao, Dodoma, 26 Julai, 2025
Mnawahonga wajumbe, buree kabisa
 
Ukitaka kujua kuna chama kina wanachama nyumbu, we tu angalia chama fulani. Wanafanya maamuzi kwa kuburuzwa, halafu baada ya vikao wanaanza kulalamika .
 
Povu lote Hilo, ila muishie huko huko kuchezea chezea katiba yenu ya chama..msije mkagusa katiba ya nchi....badilisheni ya chama chenu imfae alafu akimaliza muda wake akaja mwingine mbadilishe tena kwa dharula ili naye imfae...chezeeni tu katiba yenu. Na umwambie yule babu aliyesema haoni mwanasisiemu wa kushindana na samia..umwambie tu kuwa hata wakichukuliwa wagombea alioshindana nao Magufuri yaani mfano pinda, January, migiro, au yeyote ashindane na samia...samia hatoboi na haohao wajumbe wake, kaambie kale kazee kaache dharau
 
Hao watu waliopangwa kuongea mambo mliyopanga yasikiwe ndo tupoteze muda wetu kuwasikiliza?
 
Mmesindikiza kwa damu za watoto wa watu kule nyanda za juu?
 
Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma. CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu. Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA TUNATIKI na Rais wetu ni Dr. SAMIA SULUHU HASSAN, aendelee kutuletea suluhu ya matatizo yetu wananchi

Fuatilia hapa: LIVE - Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM akishiriki Mkutano Mkuu Maalum CCM kwa Njia ya Mtandao, Dodoma, 26 Julai, 2025
Anatetea matatizo yenu? Au anawaongezea
 
Back
Top Bottom