Sikiliza hadi mwisho vita kati ya GSM na Mo, Simba wanapoteana

Sikiliza hadi mwisho vita kati ya GSM na Mo, Simba wanapoteana

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Mo na Mangungu wanataka kupinduana, lakini mo ameshaanza kuvuta punzi ya moto ya GSM kibiashara.
Baada ya Simba kufungwa mara 5 mfululizo bidhaa za mo zimeingizwa chaka na bidhaa za GSM; kunywa maji ya masafi badala ya maji ya GSM ni kichekesho siku hizi.

Mangungu anataka kumuondoa mo kutoka Simba kwasababu mo hatoi pesa zake kwa wakati. Mfano, hela ya bonus za wachezaji kuelekea derby ameituma tarehe 23 wakati mechi ya derby ni 25 June wakati mchakato wa kuandaa timu na ule wakibenki ili kutoa fedha hadi ziwafikie wachezaji unafahamika. Simba inawakosa wachezaji kwenye usajili kwakuwa mo hatoi fedha za usajili kwa wakati, lakini hawa jamaa akina Dr. Mo wanataka kumwangushia mgunga Mangungu.

Mzee Shaban Kamwe nae Katoa mpya kumchanganya Rais Samia kwenye mchafukoge wao. Amtaja mama kama shabiki wa Yanga, sijui akiambiwa apeleke ushahidi atakuwa nao. Mama Katoa goli la mama na ndege kwa Simba na Yanga bila kubagua.
 
Mangungu yupo kwa kazi maalumu simba ya kufanya GSM atangaze brand yake kila mahala kwa kusaliti timu
Mangungu akimtumia msemaji Ahmed Ally kuwavika mashabiki kilemba Cha ukoka kwa kuwasifu wachezaji wanaosajiliwa kwa kuwaita majina kama vile straiker refu kuliko goli, mlete mdhingu, nk
Wahujumi wakubwa wa simba ni mangungu, bodi ya wakurugenzi na ahmedy ally
 
Mangungu yupo kwa kazi maalumu simba ya kufanya GSM atangaze brand yake kila mahala kwa kusaliti timu
Mangungu akimtumia msemaji Ahmed Ally kuwavika mashabiki kilemba Cha ukoka kwa kuwasifu wachezaji wanaosajiliwa kwa kuwaita majina kama vile straiker refu kuliko goli, mlete mdhingu, nk
Wahujumi wakubwa wa simba ni mangungu, bodi ya wakurugenzi na ahmedy ally
Mi naona shida ni wadau wote wa Simba; mo, Mangungu, wajumbe wa bodi, msemaji, wachezaji, mashabiki na wachambuzi wao.

Mo analalamika anapata hasara, anawaadhibu akina Mangungu kuchelewesha mabadiliko kwa kukataa kutoa hela za usajili na bonus. Haoni kwanini atoe fedha za bonus kwa wachezaji ambao hawajui mpira. Mo anajua namna Simba ilivyokuwa inashinda mechi zake.
 
Mangungu yupo kwa kazi maalumu simba ya kufanya GSM atangaze brand yake kila mahala kwa kusaliti timu
Mangungu akimtumia msemaji Ahmed Ally kuwavika mashabiki kilemba Cha ukoka kwa kuwasifu wachezaji wanaosajiliwa kwa kuwaita majina kama vile straiker refu kuliko goli, mlete mdhingu, nk
Wahujumi wakubwa wa simba ni mangungu, bodi ya wakurugenzi na ahmedy ally
Uko Sahihi kabisa MKUU
 
Hahahahaha, siku simba wakijua kwann Yule Swendy Mkwabi aliachia madaraka ndio siku mtaanza kupata mafanikio

Wachawi wa simba ni hawa hapa msizunguke sana
1 .Try again
2.Magori
3.Mohamed Nasoro
4.Asha baraka

Namba 4 mnaeza kumtoa kupitia uchaguzi, ila hao waliobaki ,1,2,3 , ndio wenye timu wamekabidhiwa na tajiri
 
Mo na Mangungu wanataka kupinduana, lakini mo ameshaanza kuvuta punzi ya moto ya GSM kibiashara. Baada ya Simba kufungwa mara 5 mfululizo bidhaa za mo zimeingizwa chaka na bidhaa za GSM.

Mangungu anataka kumuondoa mo kutoka Simba kwasababu hatoi pesa kwa wakati. Mfano, hela ya bonus za wachezaji kuelekea derby ameituma tarehe 23 wakati mechi ni ya derby ni 25 June wakati mchakato wa kuandaa timu na ule wakibenki ili kutoa fedha hadi ziwafikie wachezaji unafahamika. Simba inawakosa wachezaji kwenye usajili kwakuwa mo hatoi fedha za usajili kwa wakati.

Sikiliza machawa wa mo vs mangungu vs GSM.
Stori za wakosa kazi vijiweni
 
Mangungu yupo kwa kazi maalumu simba ya kufanya GSM atangaze brand yake kila mahala kwa kusaliti timu
Mangungu akimtumia msemaji Ahmed Ally kuwavika mashabiki kilemba Cha ukoka kwa kuwasifu wachezaji wanaosajiliwa kwa kuwaita majina kama vile straiker refu kuliko goli, mlete mdhingu, nk
Wahujumi wakubwa wa simba ni mangungu, bodi ya wakurugenzi na ahmedy ally
Kwanini mkurugenzi wa wanachama wa Simba SC hamjawahi kumchagua wakati ni takwa la kikatiba
 
Hahahahaha, siku simba wakijua kwann Yule Swendy Mkwabi aliachia madaraka ndio siku mtaanza kupata mafanikio

Wachawi wa simba ni hawa hapa msizunguke sana
1 .Try again
2.Magori
3.Mohamed Nasoro
4.Asha baraka

Namba 4 mnaeza kumtoa kupitia uchaguzi, ila hao waliobaki ,1,2,3 , ndio wenye timu wamekabidhiwa na tajiri
Kaka hawa 3 hapo juu wametajirika/wanaishi kupitia Simba kwa njia mbalimbali. Hao 3 ndio waliompelekesha mwenzao Kidao ambae nae amempotosha Karia kuachana na weledi katika kuongoza mpira.

Magori anaamini kwenye mipango badala ya science ya mpira.

Kwanini familia ya Dewj imeiganda Simba kama ruba? wadau wa Simba kwanini hawajiulizi swali rahisi kama hili? Mangungu wanamuonea tu walahi.
 
Kaka hawa 3 hapo juu wametajirika/wanaishi kupitia Simba kwa njia mbalimbali. Hao 3 ndio waliompelekesha mwenzao Kidao ambae nae amempotosha Karia kuachana na weledi katika kuongoza mpira.

Magori anaamini kwenye mipango badala ya science ya mpira.

Kwanini familia ya Dewj imeiganda Simba kama ruba? wadau wa Simba kwanini hawajiulizi swali rahisi kama hili? Mangungu wanamuonea tu walahi.
Hao wa3 ndio wanafanya haya ktk kuwarubuni wana simba
Kuhonga wachambuzi, kuhonga wanachama feki kwenda ktk media kumlaumu mangungu

Wkt ukweli wao ndio wanafungu la hela ,wao ndio wanasajiri na kulipa wachezaji
 
Hao wa3 ndio wanafanya haya ktk kuwarubuni wana simba
Kuhonga wachambuzi, kuhonga wanachama feki kwenda ktk media kumlaumu mangungu

Wkt ukweli wao ndio wanafungu la hela ,wao ndio wanasajiri na kulipa wachezaji
Hawa watu ndio wanampiga mo hela zake za usajili na bonus za wachezaji. Wanaleta wachezaji hafifu wa bei ndogo ile waje wacheze kwa kuongezewa imani ya uchawi. Yaani kitengo cha uchawi cha simba kiko active hadi leo. Wakati yanga ya sasa ikiamini kwenye ubora wa wachezaji, dua na kutoa sadaka kwa wenye uhitaji wenzao Simba wamebakia katika zama zileziele za miaka ya 1970s ya uchawi wa mvua, mbuzi na paka mweusi katika kushinda mechi. Simba bado wamebaki kwenye zama zileeee za kusema derby haina mwenyewe, lakini leo hii derby ina mwenyewe.
 
Hawa watu ndio wanampiga mo hela zake za usajili na bonus za wachezaji. Wanaleta wachezaji hafifu wa bei ndogo ile waje wacheze kwa kuongezewa imani ya uchawi. Yaani kitengo cha uchawi cha simba kiko active hadi leo. Wakati yanga ya sasa ikiamini kwenye ubora wa wachezaji, dua na kutoa sadaka kwa wenye uhitaji wenzao Simba wamebakia katika zama zileziele za miaka ya 1970s ya uchawi wa mvua, mbuzi na paka mweusi katika kushinda mechi. Simba bado wamebaki kwenye zama zileeee za kusema derby haina mwenyewe, lakini leo hii derby ina mwenyewe.
Hahahahaha,umenikumbusha hapo kwenye uchawi, siku moja niko na Idd kajuna,asha baraka na watu wengine sehemu ,ktk yale maongezi kuleta waganga ilikua sehemu ya maongezi
 
Hahahahaha,umenikumbusha hapo kwenye uchawi, siku moja niko na Idd kajuna,asha baraka na watu wengine sehemu ,ktk yale maongezi kuleta waganga ilikua sehemu ya maongezi
wacha hiyoo kaka, kule Simba kuna jamaa mmoja anaitwa Abdallah Simba, rafiki yake magori. yeye ni mwanasimba kindakindaki, ameniambia kuwa pale simba kuna fungu la fedha la kula viporo. Yaani kama Simba inashiriki kwenye mashindino ya CAF na kuwa na viporo vingiiii, basi liko fungu la fedha linatengwa kwaajili ya kuvila viporo vyote kwa mafanikio. Timu inaendeshwa kwa mission town.
 
wacha hiyoo kaka, kule Simba kuna jamaa mmoja anaitwa Abdallah Simba, rafiki yake magori. yeye ni mwanasimba kindakindaki, ameniambia kuwa pale simba kuna fungu la fedha la kula viporo. Yaani kama Simba inashiriki kwenye mashindino ya CAF na kuwa na viporo vingiiii, basi liko fungu la fedha linatengwa kwaajili ya kuvila viporo vyote kwa mafanikio. Timu inaendeshwa kwa mission town.
Hahahahaha, hiyo ya mission town inajulika ila watu wanajifanya hawaoni,uzuri nimefanya nao kazi kwa ukaribu nawajua vzr, kuna deal huwa naruka nao
 
Back
Top Bottom