Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Katika kufikiria mwanamke Halisi wa Kiafrica dhahili hujua nini mmewe amfanyie au nini nyumba yake inataka, sasa hapa, mie mwenzenu mama mkwe ndo amekuwa na wasiwasi wa ndoa yangu kati yangu na mke wangu zaidi ya mke wangu.
Sina maana mama mkwe anataka nimchakachue hapana, Baba mkwe yupo na wanapendanan sana, Nilishagawahi kutaka kumuuliza/ au kuwauliza Mbona mwanenu hajui umuhimu wa Mimi? nikaona ni swali la wanaume suruali hili, Nimejaribu kumwezesha ajue nafasi yake kwangu na yangu kwake lakini bado tu, Tunapeana tunda kama kawa lakini hilo si definition la mapenzi tosha, ni nyama katika skeleton.
Huyu bibie hajui kabisa maana ya mume hivyo kupelekea Mama Mkwe wangu kuwa na wasiwasi na ndoa yetu kuliko bibie, au ndo UKUBWA DAWA?
Sina maana mama mkwe anataka nimchakachue hapana, Baba mkwe yupo na wanapendanan sana, Nilishagawahi kutaka kumuuliza/ au kuwauliza Mbona mwanenu hajui umuhimu wa Mimi? nikaona ni swali la wanaume suruali hili, Nimejaribu kumwezesha ajue nafasi yake kwangu na yangu kwake lakini bado tu, Tunapeana tunda kama kawa lakini hilo si definition la mapenzi tosha, ni nyama katika skeleton.
Huyu bibie hajui kabisa maana ya mume hivyo kupelekea Mama Mkwe wangu kuwa na wasiwasi na ndoa yetu kuliko bibie, au ndo UKUBWA DAWA?