Sikanyagi Tanzania hadi 2026 Desemba

Sikanyagi Tanzania hadi 2026 Desemba

Impact itoke wapi Kwa mbwa koko ,kazi ya mbwa koko ni kukunja mkia na kubwekea RAIA wema ,magufuli siyo mbwa koko yeye acheki na kima popote walipo iwe ccm au serikalini au sekta binafsi yeye anang'ata matako tu ,ukisikia yalaaa ujue kang'atwa huyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Utakua very unhappy person, kwa nini unamuita mwenzio mbwa koko?
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
Ni kweli huwezi ogopa sanamu uliyoipeleka karakana wewe mwenyewe... LAKINII...!! HUONI KWAMBA KUSUBIRI HADI 2025 BADALA YA KUKANYAGA TZ KABLA YA HIYO 2025, NI KULIOGOPA HILO SANAMU ULILOLIPELEKA KARAKANA WEWE MWENYEWE..?
 
Impact itoke wapi Kwa mbwa koko ,kazi ya mbwa koko ni kukunja mkia na kubwekea RAIA wema ,magufuli siyo mbwa koko yeye acheki na kima popote walipo iwe ccm au serikalini au sekta binafsi yeye anang'ata matako tu ,ukisikia yalaaa ujue kang'atwa huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli usemayo , na kwa kweli kwa kua hivyo uchumi umepanda sana..watu wana milo hadi sita kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We have an alert concerning with abduction,
Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
Huwezi kurudi mpaka 2026 kwa sababu unaogopa, tena huogopi sanamu mlizozichonga wenyewe? sijaelewa.
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
Hiyo pole kwa CAG yupi? Tatizo mihemko inawatawala sana aina hii ya nyumbu ni ya ajabu sana.
 
JF is hard to let it go, kuna wakati inabidi ukubali kukosowa serikari ni jukumu la wapinzani and other political stake holders.

Biashara za serikari na huduma ambazo wewe uzitumii ni jukumu la watumiaji kulalamika, mikataba mibovu ni jukumu la ma-expert wao.

Binafsi dua zangu za mwakani ni no-more social media muda wa kubishana na watu usiowajua inatosha especially kwa mtu ambae hana interest na politics as a career.

It’s goodbye from me too, ntabaki kuwa msomaji.

God bless JF.
 
Back
Top Bottom