Sikanyagi Tanzania hadi 2026 Desemba

Sikanyagi Tanzania hadi 2026 Desemba

Hebu sema machache kwani uhisi unasubiriwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna codes kadhaa nimeshapewa alert na watu wangu , lakin Simaanishi wananijua mimi ni nani ila so vema kujiamini kuputuliza

Uzi nilileta kuwa Je Rais atawajibika kupotea kwa saa nane?
Hebu sema machache kwani uhisi unasubiriwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
uzi huu una madhara nadhani

 
Kato wa machalila Uswahil ambaye ni Muhamiaji mwenye bahati
Hiyo IJ ndio haswa ita zero in kwenye huo uhamiaji, alizaliwa wapi, wazazi wake biological ni kina nani, aliingia lini nchini, aliomba uraia?. Kama hakuomba uraia, imewezekana vipi hadi...

Hii ina maana wewe Mkuu britanicca una info kuliko hata za wale jamaa wa ofisini kwa dingi wangu na maza wangu!.
P
 
Hiyo IJ ndio haswa ita zero in kwenye huo uhamiaji, alizaliwa wapi, wazazi wake biological ni kina nani, aliingia lini nchini, aliomba uraia?. Kama hakuomba uraia, imewezekana vipi hadi...

Hii ina maana wewe Mkuu britanicca una info kuliko hata za wale jamaa wa ofisini kwa dingi wangu na maza wangu!.
P
Alafu akanasibishwa Jina alitanga tanga sana kaanzia Karagwe Kihanga wakahamia eneo fulani Mugakorongo kabla ya Uswahilini

Ila tuyaache bahati ya Mwenzio isikulaze Mulango wazi
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
Baki huko huko Wewe mwenyewe ni muuaji, mtesaji na mwizi, umeshiriki kwa maneno na matendo yako, na kwa kuunga mkono yote haya.

Hatuna cha kupoteza hata ukifia huko huko.
 
Mkuu yapo Mengi
Nenda morocco kila saa tano asubuhi
Kuna Land cruiser nyeusi zinatoka kijito wa nyama kwenda Feri kwa Mwenye soko lake

Mmoja anahusika
Pole sana. Hutaiona Tanzania hadi 2026? Utaumia sana, huenda usiione hadi 2035, unayo subira ya kiasi hicho?
 
Alafu akanasibishwa Jina alitanga tanga sana kaanzia Karagwe Kihanga wakahamia eneo fulani Mugakorongo kabla ya Uswahilini

Ila tuyaache bahati ya Mwenzio isikulaze Mulango wazi
IJ haiangalii bahati, ni uchunguzi mdogo tuu jinsi ilivyo rahisi kwa mtu asiye raia kupenya kiurahisi hadi kuukwaa undetected!.
This is very dangerous to our national security!.
P
 
IJ haiangalii bahati, ni uchunguzi mdogo tuu jinsi ilivyo rahisi kwa mtu asiye raia kupenya kiurahisi hadi kuukwaa undetected!.
This is very dangerous to our national security!.
P
Yes because we don't have strong system to curb the scenario
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
Wewe Ni mtu usielewa unalofanya mkuu kwani wewe kuacha kitu fulan Hadi utangazie umma as if kwamba unafaidika na kitu unachokifanya. Kwahiyo hata siku ukipigwa na mkeo Napo utakuja kututangazia kuwa huowi Tena si ndiyo..

Wanaume learn how to control your mouth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe

So mkuu 2026. utakuwa na Mbowe Ni muda sahihi wa kurudi.
 
We have an alert concerning with abduction,

You won't Get me that easily
Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me ,
Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu

Pole C.A.G
Pole Magoti
Pole Azory

Mimi ni CCM asilia we don't get scared kwa masanamu tumeyapeleka Karakana wenyewe
We Britannica, nimeacha siasa, nimeacha siasa, lakini, kila siku unaleta threads zaidi ya mia za siasa! Pumbavu!
 
Wewe umejuaje kama hana Impact?
Impact itoke wapi Kwa mbwa koko ,kazi ya mbwa koko ni kukunja mkia na kubwekea RAIA wema ,magufuli siyo mbwa koko yeye acheki na kima popote walipo iwe ccm au serikalini au sekta binafsi yeye anang'ata matako tu ,ukisikia yalaaa ujue kang'atwa huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna codes kadhaa nimeshapewa alert na watu wangu , lakin Simaanishi wananijua mimi ni nani ila so vema kujiamini kuputuliza

Uzi nilileta kuwa Je Rais atawajibika kupotea kwa saa nane?

uzi huu una madhara nadhani

Usiwe na wasiwasi magufuli lazima ataleta maendeleo Kwa sababu anacheza vizuri siyo kama nyerere kwenye kuwatambua adui wa maendeleo ambao ni wafanyakazi Wa serikalini
Ili ndiyo lilikuwa kosa kubwa Kwa nyerere alishindwa kutambua adui ni Nani hivyo kuiacha nchi kwenye Giza matokeo yake maadui kushika nchi na kupeana vyeo kupitia maraisi wasio faa
Kuanzia mwinyi , mkapa ,kikwete . na kuhusu magufuli usijidanganye kuwa watz watamwacha aondoke madarakani 2025 ila ukweli kila siku zinavyo zidi kwenda kufikia 2025 ndivyo atakavyo zidi kupendwa na wanaompenda na wasiompenda hadi kufikia 2024 kundi ambalo Leo alimpendi Kwa 100% litapungua na kubaki 20% tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom