telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Kulewa na madawa siku ipite, kutongoza, wanawake kupoteza wakati au kumendea waume za watu kuchuna nani hapa anatibika jamani au ndo wagonjwa wote. Kama hamjafunguka hivi ndo vita vikali viko kila mtaa kila mkoa kila nyumba tunapambanaje na haya ??????????
Silaha ni ipi jamani
Silaha ni ipi jamani