Sijui niseme laana maambukizo au ugonjwa au ndo vita

telitaibi

JF-Expert Member
May 2, 2012
551
106
Kulewa na madawa siku ipite, kutongoza, wanawake kupoteza wakati au kumendea waume za watu kuchuna nani hapa anatibika jamani au ndo wagonjwa wote. Kama hamjafunguka hivi ndo vita vikali viko kila mtaa kila mkoa kila nyumba tunapambanaje na haya ??????????

Silaha ni ipi jamani
 
silaha ni sala, kufunga na kuomba. Kumuachia roho mtakatifu a take control ya maisha yetu!

kwa busara nakupa mia siku zote asante na roho mtakatifu asimame na watu wake malaika njooni door 2 door hali ngumuuuuu
 
kwa busara nakupa mia siku zote asante na roho mtakatifu asimame na watu wake malaika njooni door 2 door hali ngumuuuuu

Those who humble themselves under God's hands, will take the best course to secure themselves.

T.B.Joshua
 
telitaibi yaani leo nyuzi zako full kunipa raha ila nikushauri tu haya maisha bwana kwa tulioish kila kitu ni batili so Mungu peke yake ndiye jibu na suluhisho la haya uloyaeleza hapa.

ngoja nikwambie maisha ya utu uzima kwa walio wengi yana ainisha maisha ambayo mtu alilelewa kwa walio wengi sasa wale ambao watayaona kama makuzi walaiyopitia ni mabaya na wakaamua kumpa Yesu basi hufaidi kwenye ipengele cha maadili kuliko wale wanaoishi kama kunguru.
 
Last edited by a moderator:
Those who humble themselves under God's hands, will take the best course to secure themselves.

T.B.Joshua

the time is always right to do whats is right and now it time 4 us kuomba bila kuchoka hadi uzime pumzi.
 
telitaibi yaani leo nyuzi zako full kunipa raha ila nikushauri tu haya maisha bwana kwa tulioish kila kitu ni batili so Mungu peke yake ndiye jibu na suluhisho la haya uloyaeleza hapa.

ngoja nikwambie maisha ya utu uzima kwa walio wengi yana ainisha maisha ambayo mtu alilelewa kwa walio wengi sasa wale ambao watayaona kama makuzi walaiyopitia ni mabaya na wakaamua kumpa Yesu basi hufaidi kwenye ipengele cha maadili kuliko wale wanaoishi kama kunguru.


mambo magumu si wakati wa kuyamazia tena ni wakati wa kutoa miliyo yake 2 wachukie watakao chukia wapone watakao pona ka kwisha maadili kila kona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom