Habar wana jf yaaani nmefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yaaan itabid niende kwa mganga aiseeee muda mwingine najihisi nina mkosi
Habar wana jf yaaani nmefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yaaan itabid niende kwa mganga aiseeee muda mwingine najihisi nina mkosi
Habar wana jf yaaani nmefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yaaan itabid niende kwa mganga aiseeee muda mwingine najihisi nina mkosi
Habar wana jf yaaani nmefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yaaan itabid niende kwa mganga aiseeee muda mwingine najihisi nina mkosi
Usiwaze negatively kaka. Mimi niko kwenye mkondo huo. Ila Mungu wangu ni mwema sana naamini soon nitakuja kutoa ushuhuda hapaHabar wana jf yaaani nmefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yaaan itabid niende kwa mganga aiseeee muda mwingine najihisi nina mkosi
We tatu tu. mi mpaka ofisi nilioneshwa halafu nikapigwa chini.
Soma hapa. >>>> https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/682938-hii-imeniuma-sanaa.html <<<[/QUOT
Duu hyo ilikuwa kali aisee
Kazi zipo nyingi sana watu waache kuchagua kazi. Kuna Graduate mmoja rafiki yangu shoe-shiner anavyopata pesa na alivyo na watewa wengi huwezi amini, mpaka anadiriki kuniambia hataki kuajiriwa tena.