Sijui nina mkosi

Sijui nina mkosi

with God everthngs ar posbl,..uckate tamaa kila ki2 kw wakat wake...muda wako hujafka endelea kusubr kw uaminif kw mungu
 
Brazil wamefungwa saba hawajajihis wana mkos wamejiuliza wamekosea wapi wanajipanga nawe pia umejiuliza interview ulizofanya umeshindwaje kama ilikua written umepiga shule vya kutosha au ulikariri na kama oral umekua na idea za kutosha kuhusu interview jaribu kukaa chini na kujiuliza wapi ulikokosea kuna rafiki yangu alikua anazan utumish wanapendelea lakini interview moja waliingia rafiki zake watoto wa wakulima kama yy akasema kumbe ni kupiga shule tu nitapata kazi kupitia utumish jamaa kuanzia pale jamaa alianza kupiga shule interview waliitwa 540 kwa nafasi tano jamaa alipita na kupata kazi system adnimistator necta pale komaa,kk haina kukata tamaa mkosi ni ww mwenyewe kutojua wapi unakosea ili ushinde
 
Habar wana JF yaaani nimefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yani itabidi niende kwa mganga aise muda mwingine najihisi nina mkosi[/QUOTE
Yaan 3 na umekosa zote ndo unajiona una mkosi!!?? Me nkikutajia zangu utazimia
 
hacha habari zq uganga. jifunze kutokana na makosa "if you can read, you can learn anything"
 
Kama alivyosema mdau mmoja hapo juu fursa zipo nyingi tena hazitaji mtaji wowote mfano kuendesha bodaboda,kondakta daladala,tan boy malori, kuvua samaki,kufuga kuku wa kienyeji, siku zinakwenda na kuongeza juhudi kutafuta kazi ukipata si unaachana na hizo fursa ndogondogo??? tha problem nimegundua graduate wengi wanajikweza kwa kujiweka juu wakati awana ata pa kuanzia jitaidi kujishusha vyeo mkuu Mungu akuinue mwenyewe usijiinue kwa akili na nguvu zako!!! Tumbo aliangalii unapata kipato kwa staili gan linataka lijazwe msosi tuu

Yani mfano mtu ana degree ya political science then unamshauri avue samaki.?
 
Never give up we ni kamanda,MIMI NIMEFANYA INTERVIEW 2 ZA POLISI na 2 za JKT,Lakn kutokana na umbile kuwa mwembamba na mfup wa fut 5.4 wanataka futi 5.7,NIMEKOSA,Saiv niko Chuo kikuu nikitoka hapa Naenda tena kufanya interview!USIKATEE TAMAAA
 
Yani mfano mtu ana degree ya political science then unamshauri avue samaki.?

Unaona sasa hapo ndio huwa wengi panawashinda wanasema yani mimi,yani nikaendeshe tax,yani nikaoshe magari hiyo garama ya nauli kwenda kwa mganga upeleke mbuzi,kondoo au kuku mweusi na pesa juu si ulaghai mtupu sanasana hayo mapepo yatamrudi pale atakapo vunja masharti ya mganga kwaitwa kwenye interview akakosa kuitwa kazini atajikuta anarudi kwa mganga na atapeleka n'gombe bora ivyo vitu akawape watoto yatima apate thawabu kwa Mungu au kuamua kufanya moja kati ya hizo fursa hapo juu.

Namshauri tuu kwa mganga asiende kabisaaa atajongezea gundu.
 
kuna nini tena Secret....nani alijinyonga tena

Yaaaan umekurupuka knoma kusikia mtu kajinyonga hahahaha chezea interview ww umetuma apolication karbu mia tatu hujaitwa interview hata moja dadeki hata mm najinyonga tu
 
Kazi zipo nyingi sana watu waache kuchagua kazi. Kuna Graduate mmoja rafiki yangu shoe-shiner anavyopata pesa na alivyo na watewa wengi huwezi amini, mpaka anadiriki kuniambia hataki kuajiriwa tena.



hahahhaahaha ahahahaha ahahaahaha aahhaha a ahahahaah hahahahaha ahahahaahah aahahahah. Usiniambie jembe nianze kubrashi viatu. hahahahahaahahahahahahah
 
Mkuu pole ila usikate tamaa kwani tupo tuliofanya interview zaidiya 15 lkn wapi mpaka tumejiajili...tumia shahada zako kwani fursa NI nyingi haswa kwa wasomi....
 
Habar wana JF yaaani nimefanya interview tatu na zoote nimekosa kazi yani itabidi niende kwa mganga aise muda mwingine najihisi nina mkosi

Usikate tamaa ndgu yangu,ajira ni ngumu sana siku hizi mm mwenyew nimetafuta kazi ssanaa hadi nilikua nakata tamaa,nimeamua kujiajiri nikiwa na imani iko siku mambo yatajipa!so tuombe. Mungu
 
Back
Top Bottom