sijui nifanye je

sijui nifanye je

Myekoro

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
10
Reaction score
0
jamani mm nimekuwa nikipata shida sana kila nikipita maana madem weamekuwa wa kinifata thana na wengine wamekuwa wakija home daily ...........na mm nina dem wang nina mpenda sana ila wote wanao kuja home niwakali kinoma saa sijui ni fanye nn¿
 

Attachments

  • widlok_ADOPTED-1_ar.jpg
    widlok_ADOPTED-1_ar.jpg
    25.9 KB · Views: 74
Sidhani kama hili limekushinda kutatua.
lakini fanya hivi

Wambie wasije una mpemzi wako.
 
Sidhani kama we ni gentleman
Mwanaume wa kweli hawezi kuja kilalama mambo ya kike humu!
Unaongea kikike hata hao wanaokufuata watakuwa ni mahousegirl kama ni kweli!
Be a gentleman ongea ukiwa umekaza sauti!
 
Thatha waambie una mpendhi na unampenda thana..
 
mkuu mi nakushauri uwafanye hicho hicho unacho fikiria ili nafsi yako itulie. mia
 
Full utoto yani.. Anayelalamika kufuatwa na mademu ndo huyo chalii hapo anayekunywa chai.

attachment.php
 
Back
Top Bottom