Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
cpend mgombane tena cc ni xfiki au co ndugu zangu
anataka kupigwa makofi huyu
cpend mgombane tena cc ni xfiki au co ndugu zangu
Hahaha ngoja tu nicheke.
bro bado una mind kinoma .ila ananitatza sana
Kwa kuwa mnafanya uasherati na huyo mwanamke wala isikuume akiwagawia na wengine maana nao pia utaitwa ni uasherati...
Halafu kijana siku nyingine ukiamua kutuandikia habari zako huku tafadhali usiandike wakati upo sehemu yenye baridi kali ambapo mikono inakuwa yakutetema kama gari linalokata wese...
Mwandiko hata haueleweki