Sijui nifanyaje?

Sijui nifanyaje?

May be its a sign.... She's not meant for you! Angalia mwenendo wake,kumpeleka kwa mama sio ishu...watu washafikishwa mpaka kwenye altar pale wakasema 'Hapana'..... Make a wise decision before its too late!
Kuna ndugu yangu lkn yeye ni ke, anadai aligundua weakness kubwa sana kwa patna wake kabla ya ndoa akapuuza, ndoa haikufika mahali sasa hv ni history. ANadai alidhani atabadilika baada ya ndoa. Tabia haina dawa
 
kaaeni zungumzeni, wekaneni wazi ktk nature ya mahusiano yenu na monitoring & evaluation ya relationship yenu iwe under ur control!!
 
Mpe mapumziko, mfanyie mambo madogo madogo asiyoyatarajia toka kwako MF. zawadi ya mdoli nk Mpaka pale atapakuwa huru tena.
Fanya yote Hays pasipo kuumuliza juu ya hali yake.

thanx ndugu yang ntajtahd to do that
 
[/QUOTE]Halafu (ukinaliza) kucheka?[/QUOTE]

mh hapo
 
Kuna ndugu yangu lkn yeye ni ke, anadai aligundua weakness kubwa sana kwa patna wake kabla ya ndoa akapuuza, ndoa haikufika mahali sasa hv ni history. ANadai alidhani atabadilika baada ya ndoa. Tabia haina dawa

kwel kabisa
 
kaaeni zungumzeni, wekaneni wazi ktk nature ya mahusiano yenu na monitoring & evaluation ya relationship yenu iwe under ur control!!

athante ndugu yang ntajitahd kiumakini zaid
 
Move on..................................................................................................................................................=>
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom