Sijui nifanyaje?

Sijui nifanyaje?

wida

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
247
Reaction score
40
Naombeni ushauri marafiki zangu ndani ya JF,

Nina mpenzi wangu ambaye mwanzoni tulipendana sana, nilikuwa namtoa na kumpa kile akipendacho. Nipo nae kwa mda wa mwaka na nusu sasa hakika nampenda sana na yapata miezi ya hivi karibuni ameanza kusumbua mara hapatikani mara usiku anatumika sa 5-7 .

Amekuwa abnormal, nimemweleza x kwa x uniahidi kubadilika, sifahamu ni hali gani imemkuta, nimepeleleza kwa rafiki zake wana sema hana mwanaume mwingine.

Kinachoumiza kichwa nimesha mleta hadi kwa bi mkubwa. Nafahamu penye wengi kuna mengi na hata ushauri wenu nifanyeje?

Mimi ni male
 
Maybe it just a phase..au ana tatizo anashindwa kukwambia
 
....cha ajabu na chakushangaza nikiomba game anatoa bila wasi..sifaham ni hali gani imemkuta.

Kwa kuwa mnafanya uasherati na huyo mwanamke wala isikuume akiwagawia na wengine maana nao pia utaitwa ni uasherati...

Halafu kijana siku nyingine ukiamua kutuandikia habari zako huku tafadhali usiandike wakati upo sehemu yenye baridi kali ambapo mikono inakuwa yakutetema kama gari linalokata wese...

Mwandiko hata haueleweki
 
Kwa kuwa mnafanya uasherati na huyo mwanamke wala isikuume akiwagawia na wengine maana nao pia utaitwa ni uasherati...

Halafu kijana siku nyingine ukiamua kutuandikia habari zako huku tafadhali usiandike wakati upo sehemu yenye baridi kali ambapo mikono inakuwa yakutetema kama gari linalokata wese...

Mwandiko hata haueleweki

sawa bro amani itawale.samahan.ila ungepita 2
 
Hahahahahahaha Jamani watu8kweli hii ndo MMU
Kwa kuwa mnafanya uasherati na huyo mwanamke wala isikuume akiwagawia na wengine maana nao pia utaitwa ni uasherati...

Halafu kijana siku nyingine ukiamua kutuandikia habari zako huku tafadhali usiandike wakati upo sehemu yenye baridi kali ambapo mikono inakuwa yakutetema kama gari linalokata wese...

Mwandiko hata haueleweki
 
Last edited by a moderator:
May be its a sign.... She's not meant for you! Angalia mwenendo wake,kumpeleka kwa mama sio ishu...watu washafikishwa mpaka kwenye altar pale wakasema 'Hapana'..... Make a wise decision before its too late!
 
hapana mana nshampeleka hosp.yuko powa kchwa knauma sana

Mpe mapumziko, mfanyie mambo madogo madogo asiyoyatarajia toka kwako MF. zawadi ya mdoli nk Mpaka pale atapakuwa huru tena.
Fanya yote Hays pasipo kuumuliza juu ya hali yake.
 
naombeni ushauri marafiki zangu ndan ya jm

ninampenz wangu ambaye mwanzoni tulipendana sana .nilikuwa namtoa na kumpa kile akipendacho.nipo nae kwa mda wa mwaka na nusu sasa.hakika nampenda sana #na

yapata miez ya hv karibuni ameanza kusumbua mara hapatikani mara ucku anatumika sa 5-7 .amekuwa abnormal .nime mweleza x kwa x .huiniadi kubadilika.cha ajabu na chakushangaza nikiomba game anatoa bila wasi..sifaham ni hali gani imemkuta.nimepeleleza kwa rafk zake wana xma hana dume jngne.knachoumiza kichwa nmesha mleta had kwa bi mkubwa

Nafaham penye weng kuna mengi.nahta ushauri wenu nifanyeje?
Mm ni male

Mkuu, unaweza kunidadavulia hapo juu penye red kuwa usiku huwa anatumikaje labda ninaweza kukusaidia ushauri? Na labda cha kuongezea, kuomba gemu na kupewa si kigezo cha msingi cha kukufanya umuamini, baadhi ya wadada ni wajanja mno kuliko unavyofikiria!
 
naombeni ushauri marafiki zangu ndan ya jm

ninampenz wangu ambaye mwanzoni tulipendana sana .nilikuwa namtoa na kumpa kile akipendacho.nipo nae kwa mda wa mwaka na nusu sasa.hakika nampenda sana #na

yapata miez ya hv karibuni ameanza kusumbua mara hapatikani mara ucku anatumika sa 5-7 .amekuwa abnormal .nime mweleza x kwa x .huiniadi kubadilika.cha ajabu na chakushangaza nikiomba game anatoa bila wasi..sifaham ni hali gani imemkuta.nimepeleleza kwa rafk zake wana xma hana dume jngne.knachoumiza kichwa nmesha mleta had kwa bi mkubwa

Nafaham penye weng kuna mengi.nahta ushauri wenu nifanyeje?
Mm ni male

HUYU SI ULISHAFUNGULIA UZI??AMA MWINGINE,,,?
Naombeni ushauri

Started by wida, 9th July 2014 04:50

Kuna mpenzi wangu ambaye nampenda sana ambaye nina kama mwaka1 hivi nipo nae anatabia poa tu lakini hivi karibuni kama 3week nikimpigia simu kama sa 5-6 nambiwa inatumika.

Then nikipiga zaid inakuwa haipatikani nikawa mpole kusuluisha yakaisha sasa tangu hapo anipigii simu hadi nimpigie, anitumii text had nimtumie.

Nahitaji ushari wenu nimfanye nini, nitumie njia gani naitaj furaha katika pendo langu.

basi pengine sababu ni hii....
Tetesi: nauliza wakubwa.
Started by wida, 9th July 2014 21:29
hasara za kumpenda mwanafunzi&faida zake?
 
Labda Ladha ya mapenzi kwako ameshaipoteza,hapo anakupa mzigo tu either anaogopa kukwambia its over au kuna jambo linamsibu kuwa na subira,mpeleke faragha na mchunguze nini tatizo zaidi
 
Dogo hujaenda kuripoti shule tu...?

Hivi vitoto vinasumbua kweli humu, kinaparamia mapenzi halafu vikishaumizwa huko haraka sana vyaja hapa kufungua tu sredi zisizo na idadi...

Sasa hebu fikiria mvulana kama huyu ampe binti mimba, sijui hata kama anajua majukumu yake ni yapi!!!
 
Hivi vitoto vinasumbua kweli humu, kinaparamia mapenzi halafu vikishaumizwa huko haraka sana vyaja hapa kufungua tu sredi zisizo na idadi...

Sasa hebu vikiria mvulana kama huyu ampe binti mimba, sijui hata kama anajua majukumu yake ni yapi!!!

Hatari tupu kwa kweli ndio hawa kila siku wanalalamika oh nimetendwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom