Sijui nianzie wapi?


Asante kiongozi
 

ubarikiwe mkuu
 
Mkuu Biblia inasema samehe 7 x 70, je idadi ya makosa yake imetimu 490?
Mrudie tu maana huko nje kuna mbwa mwitu na fisi wakali wanaosubiri kukuteketeza kabisa usionekane katika uso wa dunia na watoto mkaacha yatima.
Cha kufanya kabla ya kumsamehe mke mpime damu kubwa mara 3 kama inavyoshauriwa kitaalamu. Akiwa salama na kwa kuwa amejutia kosa lake mrudie kama ameshaathirika hapo hamna jinsi kwani alichuma janga akale na wakwao...
Ahsante kwa kunisikiliza...
 
Bro pole sana, hauko peke yako katika hili...ushauri ni huu.......rudisha huyo kahaba hapo,,,, tenga chumba chake,,, angalau watoto wawaone mpo, hata wakijua mna maugomvi yenu, but mpo pamoja....awatunze wanenu.....langu ndo hilo....uwe makini sana kaitka hili.
 
Pole sana KK angu Kahema!! Najua binadamu tunapita katika mitihani na majaribu mazito hususani ktk mapenzi na ndoa!! Hilo lililotokea ni zito kibinadamu kiukweli hata Mimi limenigusa sana nahisi nimetendewa Mimi!!
Lkn, Mungu tunaemwamini, alietupa neema na hata baraka ya watoto hao uliopewa alituagiza KUSAMEHE ili tutue mizigo na fadhaha zetu!!
Utaenda dunia nzima, japo sio rahisi KK, Utaamua kuoa ata kuwapeleka watoto boarding lkn Nafsi yako kamwe haitatua mzigo unaokutesa sasa!!
Kama mlifunga kidini na una imani na Mungu NAKUSIHI MSAMEHE MKEO, itakuchukua mda kusahau na kupona maumiv hayo lkn MUNGU ATATENDA JEMA MBELE YAKO JUU ya ndoa yako mkeo atabadilika ukiwa tayari kua part ya yy kubadilika!!
BE STRONG, PRAY TO GOD, READ THE SCRIPTURES OF GOD!!
ONLY THIS WILL WORK BROTHER, MAINTAIN A POSITIVE ATTITUDE ON HER SO LONG SHE'S ALREADY CONFESSED WOT SHE HAS WRONGED YOU!!!
Mungu akupe nguvu KK Kahema
 
Last edited by a moderator:
Amini maneno yangu msamehe kwa roho nyeupe Haji rudia Tena. Mimi yalinikuta yako na tulikuwa na watoto wawili.
 
hapo kuna mambo mengi mno ya kufikirisha!

Kwanza usikilize moyo wako kwa muda wa angalau miezi 3 kabla ya kuchukua ushaurii wowote

POLE sana
 

Unaonekana unataka kumrudisha fanya hivyo.
 
thanks man kwa ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…