Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
wewe niombe tu nikusaidie wewe huna kitu iyo mbinu yako tumeigundua tunae kijanaha ha ha ha haaaaaaaaaaaa, maneno ya kujifariji, eti uniachie....we kweli Smile na akili yako ni wa kuniachia mimi mwanaume?? nitakuachia mimi nikishamalizana nae....mbinu nayoitumia kwa sasa ni kuongeza matunzo na kufanya kazi kwa bidii...apate hata hela kuwapa mgao.....kwaheri,ngoja niweke chakula mezani, tule bibi. Bye Byeeeeeeeeeeeeee!