Mimi najua nani ni nani hapo, utaniruhusu nitaje majina:lol:
Mambo ya kuchafuana kucha nani taka bana???!Hamna masizi hapo wala manyoya ya kuku! Makhussat! Lol
yeye ndo wa kuamua bwana.usimgande kijana wa watu ka kupe.acha tumfaidi.sharing is caring michele loh
He he he, umeanza maneno ya kashfa sasa....nasema hivi, tumetoka nae mbali hadi we unakuja kumpenda nilishampenda na ndo maana unaona hata yuko alivyo....kazi bidada kutunza....tutaamua mi na yeye....kama unataka sharing lazima na mi mdau unishirikishe,nijue sharing kwenye nini na nini?? mwenzangu tutakuja ku-share hata miradi ya familia....ama zangu ama zako Smile
ahahaaa belinda unakaba hadi penaltiSoma PM yangu..
Heheheee mzee ya viwango....@Ngabu
Nitarudi nikipata pc kuja kukupa like, kwa ulivyoeleza kwa ufasaha na vielelezo stahiki
Heheheee janja sana wewe eeeh! Unataka ionekae hiyo ni territory yako
Watu wasanuke ili wakupunguzie shombo....lol!
Clever you Michelle!
Hee wagombea wenza wameongezeka!!..job true true!
we shall see.lazima nitoke naeToto Belinda ni brazilian..cheki Gee alivyokuambia hapo chini..mbona utaichora namba shosty!
Aah mie tena, hapa ndio kwenyewe besti..huyu Smile maneno mengi ila hapa hafui dafu!
Gee! Tell her ajipange upya..Brazilian by nature)
Niende wapi mamii..nimeshafanya due dilligence, wewe utanisikilia kwenye bomba..pole Smile, he's mine not yours!
Halafu wewe mwanaume hapo mbele ya Max, bado uko kimya? Chagiza basi huu mpambano...
Akhaa me and you blood blood,SMH....mbona unasema ukweli hivyo ndugu yangu?
Si utulie mpambano ukiisha ndo useme haya?
Umeniudhi ila ndo sirudi nyuma....!!
ni wako akiwa kwako akitoka nje ninaeHe he he, umeanza maneno ya kashfa sasa....nasema hivi, tumetoka nae mbali hadi we unakuja kumpenda nilishampenda na ndo maana unaona hata yuko alivyo....kazi bidada kutunza....tutaamua mi na yeye....kama unataka sharing lazima na mi mdau unishirikishe,nijue sharing kwenye nini na nini?? mwenzangu tutakuja ku-share hata miradi ya familia....ama zangu ama zako Smile
nipo nae pmHalafu wewe mwanaume hapo mbele ya Max, bado uko kimya? Chagiza basi huu mpambano...
Akhaa me and you blood blood,
Hapo nshawakata maini wapinzani, kanyaga twende mwanakwetu.
Keep attacking silently, wasijue mbinu zako....lol!
BTW: hivi namshabikia nani tena? Lol...
mpm max mkuu atakupa utaratibu
haijalishi ulikuja mjini lini? nipo nae kwa pm mida hii kanipa na no yakeHuu mchezo nitaushinda kwa akili kuliko maneno....
mwache tu huyu Smile,kaja mjini hapa jana analeta vurugu....!