Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
hivyo viwango inabidi virudishwe ndani ya mstari husika sasa...
Hehehe Bee unanitafutia muhali na Smile hapo. Bora wachaguzi wawe wachache ili kuleta amani JF
😀
hivyo viwango inabidi virudishwe ndani ya mstari husika sasa...
Interesting
Haya sasa
aaah belinda taratibu tusionane wabaya loh?
What's interesting?
The definition of lofty standards
Halafu Smile hana mchezo keshajichagulia wake hapo tayari....Hehehe Bee unanitafutia muhali na Smile hapo. Bora wachaguzi wawe wachache ili kuleta amani JF
😀
nyuma ya pascal mayal kuna jamaa kavaa miwani, namfahamu kasoma ardhi university, sijui anatumia id gani hapa.
nice gee kaa pembeni maana loh vijana mashallahHehehe Bee unanitafutia muhali na Smile hapo. Bora wachaguzi wawe wachache ili kuleta amani JF
😀
aaaha kumbe wanaweza kukataa tena bht acha kunikatisha tamaa bwana hujui id zao kabisa jamaniHalafu Smile hana mchezo keshajichagulia wake hapo tayari....
Ila huwezijua bana mchaguliwa naye si ana uhuru wa kukubali au kukataa?
umeona shosti eeeh yaani ni muhimu jamani tujuane ati
Hahahaaa hebu thubutu bana, unatishwa na nini wee jiamini!aaaha kumbe wanaweza kukataa tena bht acha kunikatisha tamaa bwana hujui id zao kabisa jamani
Halafu Smile hana mchezo keshajichagulia wake hapo tayari....
Ila huwezijua bana mchaguliwa naye si ana uhuru wa kukubali au kukataa?
Hehehe nilikuja kujua nani ndo nani!?naona umeamkia huku leo? bht
Hahahaaa hebu thubutu bana, unatishwa na nini wee jiamini!
Ntakuambia ID ya huyo ...lol! Na chaguo la pili ni nani vile?
Sasa ufanye shaa shaa naona una mpinzani Belinda
Hahahaaa hebu thubutu bana, unatishwa na nini wee jiamini!
Ntakuambia ID ya huyo ...lol! Na chaguo la pili ni nani vile?
Sasa ufanye shaa shaa naona una mpinzani Belinda
Hebu ngoja kwanza, wee endelea na yule aliyekutungiaga ile rap, ukiingia huku utazidi ku narrow chances za Smile kuondoka na not too kijana. Upinzani unaongezeka, Michelle kapiga mkwara tayari....Smile akisikia hayo pressure inapanda na kushuka!
Ngoja tu adjust viwango, lkn hebu leta maujuzi hapo kwanza
Nipo, sema Max alinizidi unene kaniziba hapo nyuma yake...lolhapo sikuwepo..... wewe ulikuwepo?