obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 530
ikiwezekana dia, bt kuna m2 anasema eti mumewe sijui vp uyo nae. maana nami nimempenda huyo huyo lol.so na wewe unataka kujisevia
akubali mumewe nyumban kijf awe mume we2 lol.
ikiwezekana dia, bt kuna m2 anasema eti mumewe sijui vp uyo nae. maana nami nimempenda huyo huyo lol.so na wewe unataka kujisevia
Kumbe kuna kujuana humu jf ndo maaana post zangu hazina wateja!
sio mume wake ni mpenzi wangu shosti kaa pembeni plsikiwezekana dia, bt kuna m2 anasema eti mumewe sijui vp uyo nae. maana nami nimempenda huyo huyo lol.
akubali mumewe nyumban kijf awe mume we2 lol.
kazi kweli kweli kumbe ennh,sio mume wake ni mpenzi wangu shosti kaa pembeni pls
Mara mkewe ati kaibuka!
Wanawake hata mkiwezeshwa hamuwezi jamani!!
Ingelikuwa hapo picha za wanawake, nakwambia saa hizi waliopo kwenye picha wote wangekuwa weshapata PM za kufa mtu
hahahaaa lakini mpaka hapo hawa wadada wameonyesha mfano wa 'kuigwa'...lol!!!
halafu ss huyu Glady simuamini amini maana Michelle ndo aliwahi kutoa tahadhari, sasa yeye kilichomshtua na ktangaza ghafla ni nini? wasiwasi eeh...lol!!
Gee uliona mbali, unaona mpambano, ni hatari kwa amani ya JF
thanks kwakunisahihisha kaka, kweli ilikuwa enzi za mkangwa, jamaaa alikuwa skauti pia km sijasahau.
Akina kaka kwenye picha mpo juu, ahsanteni sana kwa kutuwakilisha. Mbarikiwe sana
Halafu nimegundua hawa wakaka wapo msibani
May God give them strength!!
unadanganya huwezi kuwa mrembo hivyoMimi ndio huyo dada aliejiinamia hapo...
hahahahahaha! unadaiwa hela ya nyali na zuena, halafu wee ulikuwa mzee wa mitungo kwa mama mingoi. loh! kafifty amepoteza mwana.
Akina kaka kwenye picha mpo juu, ahsanteni sana kwa kutuwakilisha. Mbarikiwe sana
too late my dia
Haya Belinda wa Man U, tusubiri kipenga cha mwisho....i hope Ferguson hajapanga matokeo leo....nitapiga 6-0.....!!
believe me or not i have the chick already in my empire au ni kupruvie?There's never too late kumfukuzia umtakae..unanionea wivu shosty!!
Kwa jinsi Arsenal wanavyofungwaga basi wewe umeshashindwa ligi ya ''smilling guy''..Nafurahi tulivyo wapinzania kuanzia kwa f/ball mpaka huyu kaka matata!!
sio mume wake ni mpenzi wangu shosti kaa pembeni pls