Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
loh hata wewe ndugu yangu? lkweli kisicho rizki hakilikiLoh, Smile, umempenda yupi ati?? Mi namjua huyo anayemchekea huyo dada hapo mbele ya Maxence, nisikuone nae...lol
loh hata wewe ndugu yangu? lkweli kisicho rizki hakilikiLoh, Smile, umempenda yupi ati?? Mi namjua huyo anayemchekea huyo dada hapo mbele ya Maxence, nisikuone nae...lol
Hebu ngoja kwanza, wee endelea na yule aliyekutungiaga ile rap, ukiingia huku utazidi ku narrow chances za Smile kuondoka na not too kijana. Upinzani unaongezeka, Michelle kapiga mkwara tayari....
wewe belinda huniwezi mimi sina shepu la kichina mwenyewe atahamia mbonaYani nitapamba na Smile mpaka mwisho...mipango nimeanza saa nyingi, smile labda anishinde maneno tu🙂)
wewe vp bht, bado unafanya analysis?
hehehee nimependa hiyo determination yako, karibu nahamia timu yako, I am always in a winning team...lol!Yani nitapamba na Smile mpaka mwisho...mipango nimeanza saa nyingi, smile labda anishinde maneno tu🙂)
wewe vp bht, bado unafanya analysis?
acha tu hapo preta,husninyo.zinduna.mpoleee lizzy na wengineo hawajaja.nitasalimika kweli?Hapo chacha! Bora nitulie tu huenda safari hii nikapata kwa lugha ya mapenzi! 😀
Mpaka sasa Smile yupo hatarini kunyang'anywa tonge mdomoni!
Hehheeheh
acha tu hapo preta,husninyo.zinduna.mpoleee lizzy na wengineo hawajaja.nitasalimika kweli?
hana lolote huyo just watch the matchhehehee nimependa hiyo determination yako, karibu nahamia timu yako, I am always in a winning team...lol!
Aaah Belinda mi mshangiliaji tu hapa...hehehee!
ntahama timu yako mimi ohoo! Mbona unamkaribisha roho wa kushindwa? Yaani unamuogopa michelle hata hajaanza mashambulizi?loh hata wewe ndugu yangu? lkweli kisicho rizki hakiliki
ahahaaaa we shall seeHuyo mwenye kihirizi usiombee aje...akija tu all hopes kushi nehi
wewe belinda huniwezi mimi sina shepu la kichina mwenyewe atahamia mbona
ahahaaaa we shall see
Hehehee si lazima bana hebu hata live chicken na a suck of charcoal, ikubali tu...Hapo chacha! Bora nitulie tu huenda safari hii nikapata kwa lugha ya mapenzi! 😀
Mpaka sasa Smile yupo hatarini kunyang'anywa tonge mdomoni!
Hehheeheh
Hebu ngoja kwanza, wee endelea na yule aliyekutungiaga ile rap, ukiingia huku utazidi ku narrow chances za Smile kuondoka na not too kijana. Upinzani unaongezeka, Michelle kapiga mkwara tayari....
Hahahahaaaaaaa mayo weee! Kasheshe sasa hapo...Naskia BJ lake la ki Brazil
hana lolote si umeona kakimbia?Naskia BJ lake la ki Brazil
loh hata wewe ndugu yangu? lkweli kisicho rizki hakiliki
yeye ndo wa kuamua bwana.usimgande kijana wa watu ka kupe.acha tumfaidi.sharing is caring michele lohNamaanisha bht, sipigi mkwara,huyu Smile ana speed ya ajabu...nimeona nimueleweshe mapema,tusisumbuane.....!