Sijui mtego huu?

Sijui mtego huu?

Mkuu x-pel siko tayari kumuumiza ki ukweli.

Kama ni kweli huo ni mtihani ,wewe huyo mchumba wako anakutega akuone msimamo wako upoje juu yake na ushingae ukienda huko utakuta wapo wote na mchumba wako na utakuwa umessha onesha udhaifu wa halii ya juu sana!!!!!!

Aysee na mimi nilinusa harufu ya kamtego ka hivo mkuu

Hii story wala haijanivutia.
ingekuwa enzi zile nikiwa mwanafunzi labda? Kwa nini hungeipeleka face book kwa wanafunzi?

Nisaidie kuipeleka afu ushauri niletee nitashkuru mkuu maana sina Ac ya FB

mmhhh....

Umeona ugumu unapokuja

Kuna mkopo wa riba fasta 10% mashart ni nafuu ....ni PM

Hawataki dhamana hao..maana wasijetaka hati ya kakibanda kangu ka chumba kimoja

wewe yaelekea wamtaka sasa nenda ukutane na huyo mchumba wako ufumaniwe.....!

Eehee inawezekana ati ni kamtego duh..!
 
Sioni cha kuomba ushaur hapo, wewe ni mwanaume jikaze ulipe, usijishushie hadhi na heshima yako only for money, sasa kama una nia nzur na mpenzi wako kamweleze ukweli mchumba wako kuwa umekwaruza gari la rafiki yake, then mchumba wako akaongee na rafiki yake uone kama atakusemesha tena.
 
Upuuzi upi tena mkuu

1. Kwamba 'mchumba' wako umwambie unamtoa akwambie aje na rafiki yake!!!! Wanawake hawako hivyo....labda kama hajawa mpenzi wako bado...au wanafunzi.
2. Unakwangua gari....kisha linakua la mtu unayemfahamu!
3. Aligongwa wala hashuki hadi ukamgongee kioo....
4. Mwanamke anakupa ofa ya ngono....kavukavu....wanawake wakitaka kutega mwanaume hawaongei upfront....labda wale walioshindikana....

Huu ndo upuuzi wenyewe...
 
makubwa mume atoe mwili wake kwaniaba yapesa!!! chakufanya mwambie gf wako kuhusu ajali, uskubali kuzini nashemu, ahidi kulipa hiyo pesa pindi upatapo, usiwe zoba kuendeshwa nawanawake malaya
 
Tatizo hii script ukitengenezea movie haitatoka na part two, huwezi ongeza na scene kidogo za kwenda beach na super market hivi angalau ifike part 2?
 
Kwani bado uko hapo barabarani? Polisi wamepima ajali? Yaani mshaondoka eneo la tukio bado unawaza kulipa? Mwambie aite traffic waje wapime ajali, sasa sijui mtarudi eneo la tukio???! Hata hivyo hii ni hadithi, yaani ya kutunga kwaiyo kama ingekutokea kweli hayo yangefaa kuwa majibu
 
Porojo nyingi kama bunge la bajeti wachovu wanatafuta kiki ya kurudi tena mjengoni
 
Kwani bado uko hapo barabarani? Polisi wamepima ajali? Yaani mshaondoka eneo la tukio bado unawaza kulipa? Mwambie aite traffic waje wapime ajali, sasa sijui mtarudi eneo la tukio???! Hata hivyo hii ni hadithi, yaani ya kutunga kwaiyo kama ingekutokea kweli hayo yangefaa kuwa majibu

Ahsante mkuu
 
Tatizo hii script ukitengenezea movie haitatoka na part two, huwezi ongeza na scene kidogo za kwenda beach na super market hivi angalau ifike part 2?

Story yangu haina ubongo move ni real
 
Back
Top Bottom