Sijui mtego huu?

Sijui mtego huu?

Wewe nenda huko kwenye hiyo hotel ukiwa umeongozana na mchumba wako,mkifika msurprise kwa kusema ukweli kilichotokea.

Mmh sio ndio nitaongeza tatizo afu nikikumbuka alivyonisisitizia kuwa ole wangu niseme kwa mtarajiwa wangu..sijui anajiamini nini yule binti aah
 
Columbus
Huu ndo ushauri mujarab kabisa. Sikiliza, ka ni kweli; huu ni mtego ili kuuharibu uhusiano. Aende chap kwa mchumbake, amweleze ukwelu tena ikiwezekana pawe na mtu mwingine kuonesha kuwa si uzushi.

Halaf kama mchumba na huyu rafikiye hawana lao jambo, jamaa aingizane kwa hiyo hotel, mchumba abane sehem mpaka waingizane kwa rooom, ndo fumanizi litokee.

Mchumba na huyo mtu wa tatu akitokea anajieleza kwa uchungu kuwa alitonywa na huyu mtu wa tatu, na aoneshe uchungu kuwa rafiki kumbe ni dokozi?? Yataishia hapo nakwambia, gari haitengenezwi na mche wa mtu hautwangi kinu kingine.
 
Last edited by a moderator:
Hii sio ya kutunga imenitokea kama uko vizuri nikopeshe mkwanja afu nakupeleka mpaka eneo la tukio mkuu
Mimi nakushauri kamwite trafiki apime, italipwa na bima. Nina maana kwamba tukio limepita hana mahala pakukupata kilichobaki ni tamaa zako tu. Akili kichwani.
 
mwanaume mzima unadrive gari huna hata milioni ya akiba



yaan kama ulikuwa akili zangu huyo kumkomesha kopa hata kwa mtu mlipe cash halafu mweleze mpenzio yaliyotokea ili akome kuja na rafikize kwenye out zenu hamna tabia mbaya kama hyo.

kumwita mpenzio mahali halafu aje na mashoga zake sio kabisa
 
Mh.. Kama ni kweli na kiapo ulichochukua mbele ya mchumba wako kweli huo ni mtihani mzito. Cheza karata zako vizuri...
 
mangatara
Haa Asante sana mkuu huu ndio ushauri. Ngoja niufanyie kazi. Picha nitaicheza hivyo hivyo...

Lakini mpenzi wangu nae mtata, hasa kwenye kuamini,.. Ok ngoja nijaribu kufanya.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nakushauri kamwite trafiki apime, italipwa na bima. Nina maana kwamba tukio limepita hana mahala pakukupata kilichobaki ni tamaa zako tu. Akili kichwani.

Tamaa zangu au zake maana angenipa mimi ningepeleka kwa mafundi uchwara pale TMK stilio akaniambia nikishindwa ana fundi wake.
afu Bima yangu sikukata kubwa bado hawezi kulipwa
 
matamba1

Mkuu inakuwaje watu wengine mnakuwa na bahati namna hiyo na wengine hatuna? mwambie umtafutie mimi, ww usisaliti mtu wako!
 
Last edited by a moderator:
yaan kama ulikuwa akili zangu huyo kumkomesha kopa hata kwa mtu mlipe cash halafu mweleze mpenzio yaliyotokea ili akome kuja na rafikize kwenye out zenu hamna tabia mbaya kama hyo.

kumwita mpenzio mahali halafu aje na mashoga zake sio kabisa

Mmh na mvua hizi mtu ukimgusia mkopo tu anakupa maelezo ya kusaidia ndugu zake waliokumbwa na mafuriko
 
acha woga wewe.....piga mzigo woga mpaka lini....?

Hahahaaa hapa kuna woga aina mbili mkuu Asali haionjwi mara moja ukionja tu unaweza chonga mzinga akijua mwenye hati miliki fujo itakayotokea hakuna wa kuamulia.
Mbili maradhi mkuu ile mark x lazima kuna mtu anachangia hela ya mafuta
 
Back
Top Bottom