Umwambie ukweli...uongo wa nini??
Kwani umezua hadi uogope??
Nimekupenda bure sijui kwa nini
Umwambie ukweli...uongo wa nini??
Kwani umezua hadi uogope??
ndo ujiongeze mkuuNikishindwa inabidi tu vingezo vizingatiwe...wasi wasi wangu inaweza kuwa ndio sitatoka kabsaaa na tatizo litakuwa limeongezeka maana anaweza tishia kupasua kwa mwenye mali
Anaweza asiniamini...akampigia simu rafiki yake nae akimkatalia kasheshe lingineUmwambie ukweli...uongo wa nini??
Kwani umezua hadi uogope??
Kugongewa inauma mkuu asikwambie mtu, hapa tunajificha tu nyuma ya keyboard na kuandika hizi jokes. Anyways nimefuta kauli yangu hapo juu.
🙂🙂 chief unataka nitumie kanuni ya kama mbwayi mbwayi tu..,haa kujizila huko
Anaweza asiniamini...akampigia simu rafiki yake nae akimkatalia kasheshe lingine
Kama una hela kalipe basi! we ushamtamani tu huyo mwanamke acha kutuzuga hapa!
Najua umeharibu gari yangu umevunja taa sitaki ununue ila nataka uwe mpenzi wangu,yalinitoka macho nikaropoka we si unajua nina mchumba wangu ambae ni rafiki yako akijua!? Akajibu kwa jeuri "utamwambia wewe" kama hutaki lipa.Nikipiga hesabu na hela saivi ilivyonipiga chenga taa ya mark x na fundi rangi lazima 1 mil vinitoke nikamwambia aniache nikajifikilie akasema kesho yaani leo anataka jibu na saivi kanipigia na kuniambia nimkute hotel flani.Sasa kinachoniuma ni usaliti kwa mpenzi wangu afu niliapa sitamsaliti mbele ya huyo huyo anaetaka nikamsaliti na ki uchumi saivi siko vizuri sana. Au mtego yaani ananivuruga huyu mdada.
Nipeni ushauri
Nawasilisha kwenu wana Jf
Ahsante mkuu kwa kutia neno kwani nimeona pale kwenye Red (akijua)ndio panapompa jeuri.
bima yangu ni third party siwezi kulipwa
Ushauri wako ngumu sana kutekelezeka mkuu
mwanaume mzima unadrive gari huna hata milioni ya akiba