Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 17,656
- 51,233
Hii hata mdada akienda na mkaka/mbaba mtahudumiwa kama vibaka🙌🏾Yale yale ya kujenga mazoea na Barmaid..
Leo unakunyw zako frsh mnaanz kuzoeana.. kesho unakuja na Pisi yako anahudumia vibaya amekunja uso..
Same kwa Wadada wa saloon mie huw akinihudumia vzr naacha tip.. sasa siku ukienda na ukahudumiw na mwingine ambay na yeye yupo vzr ktk huduma ukaacha tip inakuw ni lawama tena..
Dunia haina jema..