The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 7,864
- 25,842
Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni.
Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa sitakaa nifanye.
Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa sitakaa nifanye.