Sijui mpoje?

Sijui mpoje?

Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni.

Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa sitakaa nifanye.
 
NJE YA MADA.
Mimi nilikuaga na bosi wangu wa kike, yeye changamoto/tabia yake alikua hawezi kukaa vizuri, muda wote anajisahau anakaa uchi mtu unaona mpaka ndani.

Mara nyingi tukiwa katika pilika pilika, unajikuta tu umeona

Mie kuona hivyo si nikahisi anapokaaga kihasara hasara labda huwaga ananitega.

Kuna siku tupo stoo wawili tu. yuko mbele yangu akainama, shanga zoote zinaonekana, na ule mtako sasa

Nikaona leo simcheleweshi, humu humu stoo namaliza asije kuniona joka la kibisa.

Nikaupiga kofi ule mtako halafu chap
Nikashika kiuno kwa mikono yote miwili, nikamvuta usawa wa dushe.

Nilikula kofi moja tu la uso!!!!

Stori ndefu ila yaliisha.
Hahah ulihatarisha usalama wa kazi yako!
 
NJE YA MADA.
Mimi nilikuaga na bosi wangu wa kike, yeye changamoto/tabia yake alikua hawezi kukaa vizuri, muda wote anajisahau anakaa uchi mtu unaona mpaka ndani.

Mara nyingi tukiwa katika pilika pilika, unajikuta tu umeona

Mie kuona hivyo si nikahisi anapokaaga kihasara hasara labda huwaga ananitega.

Kuna siku tupo stoo wawili tu. yuko mbele yangu akainama, shanga zoote zinaonekana, na ule mtako sasa

Nikaona leo simcheleweshi, humu humu stoo namaliza asije kuniona joka la kibisa.

Nikaupiga kofi ule mtako halafu chap
Nikashika kiuno kwa mikono yote miwili, nikamvuta usawa wa dushe.

Nilikula kofi moja tu la uso!!!!

Stori ndefu ila yaliisha.
Ulikata tamaa mapema sana,
Baada ya hilo tukio ungeendelea kua unatupa ndoano zako kistaarabu zaidi,
Bila shaka muda huu ungekua umeshajipatia huyo Samaki.
 
Yale yale ya kujenga mazoea na Barmaid..

Leo unakunyw zako frsh mnaanz kuzoeana.. kesho unakuja na Pisi yako anahudumia vibaya amekunja uso..

Same kwa Wadada wa saloon mie huw akinihudumia vzr naacha tip.. sasa siku ukienda na ukahudumiw na mwingine ambay na yeye yupo vzr ktk huduma ukaacha tip inakuw ni lawama tena..

Dunia haina jema..
 
NJE YA MADA.
Mimi nilikuaga na bosi wangu wa kike, yeye changamoto/tabia yake alikua hawezi kukaa vizuri, muda wote anajisahau anakaa uchi mtu unaona mpaka ndani.

Mara nyingi tukiwa katika pilika pilika, unajikuta tu umeona

Mie kuona hivyo si nikahisi anapokaaga kihasara hasara labda huwaga ananitega.

Kuna siku tupo stoo wawili tu. yuko mbele yangu akainama, shanga zoote zinaonekana, na ule mtako sasa

Nikaona leo simcheleweshi, humu humu stoo namaliza asije kuniona joka la kibisa.

Nikaupiga kofi ule mtako halafu chap
Nikashika kiuno kwa mikono yote miwili, nikamvuta usawa wa dushe.

Nilikula mkofi mmoja tu la uso!!!!

Stori ndefu ila yaliisha.
Naona ulianza kuchezea kazi na si mshahara.
 
NJE YA MADA.
Mimi nilikuaga na bosi wangu wa kike, yeye changamoto/tabia yake alikua hawezi kukaa vizuri, muda wote anajisahau anakaa uchi mtu unaona mpaka ndani.

Mara nyingi tukiwa katika pilika pilika, unajikuta tu umeona

Mie kuona hivyo si nikahisi anapokaaga kihasara hasara labda huwaga ananitega.

Kuna siku tupo stoo wawili tu. yuko mbele yangu akainama, shanga zoote zinaonekana, na ule mtako sasa

Nikaona leo simcheleweshi, humu humu stoo namaliza asije kuniona joka la kibisa.

Nikaupiga kofi ule mtako halafu chap
Nikashika kiuno kwa mikono yote miwili, nikamvuta usawa wa dushe.

Nilikula mkofi mmoja tu la uso!!!!

Stori ndefu ila yaliisha.
😂😂😂
Nahisi ulikoma mwana mtoka pabaya 🤣🤣
 
Karibu kwenye ulimwengu wa kiume…

You have to master a lot to navigate in a male dominated world ….. Utaadhibiwa kwa makosa ambayo umefanya na ambayo haujafanya.

Push through regardless.
Asee huu ni ukweli kabisa.
Na wengine wanatamka live kabisa "hapa ili utoboe kiachie" Na usipokiachia wala hawana muda na bidhaa yako...
Wanaume ni viumbe katili sana
 
Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni.

Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa sitakaa nifanye.
Hili nalo neno
Sasa mkuu ukihama sababu ya let say bei ndio unanuna kabisa?
 
Ni tabia za baadhi ya watu tu hata wanawake mpo hivyo...
Kwa wanawake hapana naka
Yale yale ya kujenga mazoea na Barmaid..

Leo unakunyw zako frsh mnaanz kuzoeana.. kesho unakuja na Pisi yako anahudumia vibaya amekunja uso..

Same kwa Wadada wa saloon mie huw akinihudumia vzr naacha tip.. sasa siku ukienda na ukahudumiw na mwingine ambay na yeye yupo vzr ktk huduma ukaacha tip inakuw ni lawama tena..

Dunia haina jema..
🤣🤣🤣
Hivi kumbe na nyie yanawakuta... Basi usimzoee yeyote
 
Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni.

Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa sitakaa nifanye.
Acha uoga!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom