duka limejaa mchele maharage mahind ngano na nafaka zingine. Hongera sana ila mi naamini kifanikiwa katika maisha ni bahati tu, juhudi ni msemo ili masikini azidi kutumika wapo waliokuwa na maduka makubwa kuliko lako ila walikutwa na majanga kama mvia za mafuriko kuibiwa na hata moto. Jitume utumike ila Maisha ni bahati ya mtu tu ndio maana kuna waziri anazidiwa kimaisha na mwalimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.