Sijui maisha ni bahati?

Huo mshahara tunapigwa kamba !!!tena kwa udereva ?? Tena si wa NIT wala VETA? Hahaaa hapa kuna mtu anatafutwa aokotwe ili ugumu huu wa maisha usiomekane kuna mtu aliye juu ana usababisha.
Then utalipwa 913000 ila usisahau kuwa mkarimu kwa watu babu
 
huna akili ndo maana huoni tofauti yeyote na athari za mabadiliko ya kiuchumi katika maisha yako.

Unakosea sana kiongozi... Binafsi nimemuelewa sana.. Ningeweza kusimulia mengine kwa upande wangu lkn acha nitasimulia wakt mwingine.

Hivi hivi mnavyosema vyuma vimekaza sisi tunakula kiulaini kabisa tena pesa za serikali hizo hizo.. Mpango mzima ni kupiga kazi, show them that you can
 
Hongera kwa hatua ulizopiga.

Sio kudogosha juhudi zako lakini nahisi malengo au matarajio ya kitanzania yamewekwa chini sana. Yaani kijana akijituma kufanya ambavyo inastahili afanye na kufungua biashara atajadiliwa na kuitwa kwenye makongamano kana kwamba amegundua roboti au gari la kutumia umeme. Kama jamii tunapaswa kuwa hodari na kuweka malengo makubwa tunafarijiana kutekeleza ambavyo tayari tulipasswa kutimiza.

Huwezi kuwaza kugundua roboti elihali hujui unakula nini usiku.. Kwa hatua yake na hustling yake kajitahidi sana.. Tena kwa taarifa yako huenda kuna mtu anapokea salary ya 2.5m per month lakini still hawezi miliki biashara kama ya jamaa kwasasa...life is all about planning
 
Huo mshahara tunapigwa kamba !!!tena kwa udereva ?? Tena si wa NIT wala VETA? Hahaaa hapa kuna mtu anatafutwa aokotwe ili ugumu huu wa maisha usiomekane kuna mtu aliye juu ana usababisha.
Mimi nimeishiwa pozi tuu hapa si mshahara w daktari huo kabisa, yaani ukarimu tu ndo akalipwe hivyo?? Thubutuu
 
Unakosea sana kiongozi... Binafsi nimemuelewa sana.. Ningeweza kusimulia mengine kwa upande wangu lkn acha nitasimulia wakt mwingine.

Hivi hivi mnavyosema vyuma vimekaza sisi tunakula kiulaini kabisa tena pesa za serikali hizo hizo.. Mpango mzima ni kupiga kazi, show them that you can
basi kama mnakula hela za serikali kwa wakati huu mtakuwa wezi na mafisadi nyie.maana magufuli mwenyewe anakiri hela hazipo na hazitakuwepo kwa kuwa amebana mianya yote .sijui nyie wenzetu mnazipata wapi hizo mnazokula kiulaini.
 
Unakosea sana kiongozi... Binafsi nimemuelewa sana.. Ningeweza kusimulia mengine kwa upande wangu lkn acha nitasimulia wakt mwingine.

Hivi hivi mnavyosema vyuma vimekaza sisi tunakula kiulaini kabisa tena pesa za serikali hizo hizo.. Mpango mzima ni kupiga kazi, show them that you can
huna ujualo.endelea kula hizo pesa za serikali
 
Back
Top Bottom