Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,033
Huwa inatokea hivyo ngoja kuna mada yake nikutafutieDaah ndo imekaaje hii kaka mshana?
Huwa inatokea hivyo ngoja kuna mada yake nikutafutieDaah ndo imekaaje hii kaka mshana?
Jitahidi uende ukawatembelee Upone.Sijawah kufanya hicho kitu
Kwa haraka haraka mimba ya mke imepatikana Dodoma![]()
Nina wasiwasi na safari ya mke wangu
Habar wana JF, Naimani mko wazima. Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu. Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu...www.jamiiforums.com
Sawa kaka
![]()
Uhalisia wa mama mjamzito kumchukia 'mumewe'
Nimerejea nyumbani baada ya kuzurura mitaani.. Tuendelee sasa na mada zetu.. Leo ni mada tajwa hapo juu Kuna mengi ya kujadili kuhusu ujauzito na adha zake kama chakula vinywaji na mapenzi ama chuki kwa watu wengine... Lakini kuweka wigo wa mada leo tutakomea kwenye mjadala wa watu watatu...www.jamiiforums.com
Uhalisia wa mama mjamzito kumchukia 'mumewe'
Yeah imetokea kinyumeLakini kwangu ni kinyume chake mkuu
Yeah imetokea kinyume na ni mara chache hiyo hali kutokea kwa mumeLakini kwangu ni kinyume chake mkuu
na akija wa kike mkuu tutakukamata tutakukata miguu hyo we jifanye sheikh yahya tu






aisee upande wangu mimi ndo nimechukiwa kinoma na ball ndo kwanza ina mwezi…Kuchat naye ili usikerekeKampani ya nini mkuu?