Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,547
Reaction score
28,494
Jengo la Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeshawekwa alama ya X ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli kulibomoa kupisha barabara za juu (Tazara Fly-Over).

Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Dar es Salaam, Ndyamukama Julius alisema jana kuwa pia, wametoa siku 30 kuhamisha ofisi hizo kabla ya kuanza kulibomoa.

Hivi karibuni, Rais Magufuli baada ya kukagua ujenzi wa barabara ya juu eneo la Tazara na Ubungo Interchange wakati akirejea Dar es Salaam kutoka kijijini kwake Chato mkoani Geita, aliagiza Tanroads kuvunja sehemu ya jengo la makao makuu ya Tanesco na la Wizara ya Maji na Umwagiliaji yaliyopo katika hifadhi ya barabara.

Wakati huohuo, Tanesco ilitoa taarifa jana ikiwahakikishia wateja kuwa utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli hautaathiri huduma za umeme.

Jengo la Ghorofa 10 la Tanesco Ubungo ...

Jengo la serikali, jengo la TANESCO- Ubungo, lilivunjwa kwa mbwembwe zote na kibri chini ya utawala wa mheshimiwa John Pombe Magufuli.

Jengo hili halijazuia ujenzi wa barabara yoyote na hata ujenzi wa Interchange ya John Kijazi-Ubungo.

Je?
Ilikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka ya Rais
Je?
Ilikuwa ni hujuma?
Je?
Magufuli ashitakiwe( hata kama alishafariki- Post humous) kwa kuhujumu mali ya umma?

Kiburi ya madaraka lazima yadhibitiwe.
 
1756595745017.png
... na sasa nimekuwa rais kabisa ... hiiii!
😅
 
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jengo-la-tanesco-ubungo-lapigwa-x-2877414

View attachment 3459236

Jengo la serikali, jengo la TANESCO- Ubungo, lilivunjwa kwa mbwembwe zote na kibri chini ya utawala wa mheshimiwa John Pombe Magufuli.​

Jengo hili halijazuia ujenzi wa barabara yoyote na hata ujenzi wa Interchange ya John Kijazi-Ubungo.​

Je?​

Ilikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka ya Rais​

Je?​

Ilikuwa ni hujuma?​

Je?​

Magufuli ashitakiwe( hata kama alishafariki- Post humous) kwa kuhujumu mali ya umma?​

Kiburi ya madaraka lazima yadhibitiwe.​

Dogo sikia, usitupoteze malengo.....hatutaki kujuwa hili tunanchotaka tu ni kujuwa ni lini wana CCM mtandao watashikishwa adabu wao na familia zao basi na si vinginevyo. Tunataka pia yule Mama kuwadi wa CCM (Mama Kizigha) akamatwe na kushitakiwa kwa wizi aufanyao.
 
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jengo-la-tanesco-ubungo-lapigwa-x-2877414

View attachment 3459236

Jengo la serikali, jengo la TANESCO- Ubungo, lilivunjwa kwa mbwembwe zote na kibri chini ya utawala wa mheshimiwa John Pombe Magufuli.​

Jengo hili halijazuia ujenzi wa barabara yoyote na hata ujenzi wa Interchange ya John Kijazi-Ubungo.​

Je?​

Ilikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka ya Rais​

Je?​

Ilikuwa ni hujuma?​

Je?​

Magufuli ashitakiwe( hata kama alishafariki- Post humous) kwa kuhujumu mali ya umma?​

Kiburi ya madaraka lazima yadhibitiwe.​

Alishauriwa vibaya
 
Mimi nadhani kunatofauti kubwa kati ya kuvunjwa na kurekebishwa. Hilo jengo limerekebishwa halijavunjwa.
Upande mmoja uliopunguzwa ulikuwa unaona kabisa umeingia barabarani.
Na kwa barabara alizojenga njia nane na bado foleni ndio inazidi na sasa bado zinaongezwa nyingine sidhani kama ingekuwa poa kuliacha hivyo hivyo.
 
The way magufuli alivyotanua barabara hiyo ya mbezi, Mapingamizi aliokutananayo kutoka kwa wananchi na baadhi ya wanasiasa.
Na Leo hali inavyoonekana Wingi wa watu na foleni kwenye hiyo barabara.

Itoshe kusema Magufuli uwezo wake wakufikiri na kuona mbele ulikuwa uko juu sana
 
Mimi nadhani kunatofauti kubwa kati ya kuvunjwa na kurekebishwa. Hilo jengo limerekebishwa halijavunjwa.
Upande mmoja uliopunguzwa ulikuwa unaona kabisa umeingia barabarani.
Na kwa barabara alizojenga njia nane na bado foleni ndio inazidi na sasa bado zinaongezwa nyingine sidhani kama ingekuwa poa kuliacha hivyo hivyo.
Jengo lile limevunjwa kwa kibri ya kisiasa na sifa.
Barabara haifiki kwenye eneo la jengo lililovunjwa.
Magufuli wajibike!
 
Walimzuia kufanya ivo wakati ni Waziri wa Ujenzi alivyotwaa ukuu wa Nchi alisema mbele ya Mzee Pinda kuwa aliwahi kuzuiwa Kubomoa ilo jengo ila kwasasa Kwa kuwa yupo kwenye kiti kikuu akampa mkandarasi go ahead kuwa afanye maamuzi yoyote juu ya ilo jengo
 
Back
Top Bottom